Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Kongowe nasikiaNi kibaha gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongowe nasikiaNi kibaha gani mkuu
Naona wameongeza eneo la operesheni zao maalumu
Now wamevuka border wameingia pwani
Dar: Panya road
Pwani: Panya road
Tanga: Watoto wa Ibilisi
Mbeya: Wakorea weusi
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kama huna akili si lazima uchangie,.. Soma comments tu utajifunza kituWatoto wa kipwani hao wengi ndio wapuuzi. Wazazi wanafyatua ovyo watoto
Dar walifanywa nini mkuu?Hakuna nchi isiyokuwa na jobless (watu wasiokuwa na kazi) Kwahiyo swala la kazi lisitumiwe kama kichaka cha kufanyia uhalifu.
Ukienda Zambia kuna wazambia kibao wasiokuwa na kazi, ukienda Botswana kuna wabotswana kibao wasiokuwa na kazi, ukienda Malawi, Zimbabwe, Kenya, Burundi, Rwanda mpaka huko America hali ni hiyo hiyo.
Mbona hakuna matukio ya kishenzi namna hii?
Inamaana ni wao tu peke yao ndo hawana kazi?
Mkuu wa mkoa wa Pwani na mkuu wa jeshi la polisi mkoani humo wafanye kama walivyofanya wenzao wa Dar es salaam nina imani hao mbwa koko watatubu na kurejea katika maisha ya kawaida ya kiraia.
Pia ulinzi shirikishi uanzishwe na uimarishwe.
😄😄😄Kama huna akili si lazima uchangie,.. Soma comments tu utajifunza kitu
Wewe Ni mgeni hapa mjini?Dar walifanywa nini mkuu?
Mmh!sehemu zote waliofanikiwa kudhibiti vibaka, walitumia risasi, sio jela
Watoto wa ibilisi????Naona wameongeza eneo la operesheni zao maalumu
Now wamevuka border wameingia pwani
Dar: Panya road
Pwani: Panya road
Tanga: Watoto wa Ibilisi
Mbeya: Wakorea weusi
😂😂🙌🙌
Wameula wa chuyaWananchi waliovamiwa na kundi la vijana Wahalifu wenye silaha mbalimbali maarufu Panya Road maeneo ya Kibaha Mkoani Pwani wamesema vibaka hao waliwavamia kwa makundi huku wakisema hiyo ndio njia yao ya kupata rizki hivyo kila mtu atii amri ya kutoa anachoelekezwa.
Wakizungumza kwenye makazi yao baadhi ya wahanga na majeruhi wa tukio hilo wameeleza kuwa vijana hao walikuwa wakitamba kuwa hawana ajira na hiyo ndiyo ajira yao, na wao wanachotaka ni fedha, simu na mali nyingine.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Pius Lutumo amesema wahalifu hao wameiba vitu kadhaa na kujeruhi watu, na mmoja wa majeruhi ni Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Magereza ambaye anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Muhimbili.
Daktari wa kitengo cha dharura katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tumbi. Dkt Oscar Feruzi amesema wamepata wagonjwa 9 waliotokana an tukio hilo na wawili wamepelekwa Hospitali ya Muhimbili (Upanga) na Mloganzila.
Chanzo: Wasafi FM
We acha tu sijui hata kwenda kuripoti kuwa kaibiwa vitambulisho alisemaje.Nyota ni pambo tu ama ww unalichukuliaje!!??
Wengi waliuwawa, walitiwa vilema na wengine walikamatwa.Dar walifanywa nini mkuu?
Safi kabisa.Wengi waliuwawa, walitiwa vilema na wengine walikamatwa.
Dawa ya moto ni moto sio maji.Safi kabisa.