Panya Road wavamia nyumba za wakazi Kibaha, wapora na kujeruhi wananchi kadhaa

Hawa panya road ni kukamata na kupeleka Russia [emoji635]
Wawekwe frontline, that’s all walahi [emoji3062]
Uraaaa [emoji635][emoji635][emoji635]
 
Washenzi tu ndio wanaamini kama wapwani ndio panya road au wasio na elimu ndio panya road pekee,ila ukweli wanaujua lakini ni kutukana watu tu kwa kuwa ndio wanavyofundishwa kuanzia nyumbani hadi huko kwenye hizo elimu zao za ushindani
 
Dar walifanywa nini mkuu?
 
Kibaha, Kongowe eneo lote la VETA mpaka Kigelo.
Eneo lote la halmashauri ya kibaha mji sio salama. Kibaha vituo vya polisi vinafungwa saa 12 jioni. Hakuna patrol Wala nini.
Wananchi wangeweza kuchoma panya road wanne tu nadhani wangehamia chalinze.
 
Samahani jamani Mimi naomba niulize, hivi kazi ya Polisi, wanajeshi na wanaopigana ngumi ulingoni bila ugomvi si ndo hii..tuache mambo ya sijui wanajeshi ni watu wa kulinda nchi sijui nini..kimsingi waungane wamwagwe mtaani wakawasake Hawa watu..sasa Kuna haja Gani ya wao kulipwa fedha za Kodi ya wavuja jasho na matukio ya kihalifu yanaongezeka Kila siku
 
Wameula wa chuya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…