Panyaa lodi wanatupiga huku tabata njoeni mtusaidie

Panyaa lodi wanatupiga huku tabata njoeni mtusaidie

😂😂😂 watu wa mikoani tudai uhuru, tujitenge na hawa viumbe dhaifu wa Dar!.

Kwahiyo umejifungia ndani hapo huku unachungulia watoto wadogo wakiwaadabisha! Ngoja siku wawatom*ee wake zenu mbele yenu ndio akili zitawakaa sawa.
 
Huyu mleta uzi ndiye aliyepewa kandarasi ya kuchapa vibao vya barabara vilivyoandikwa MOROGORO LOAD! badala ya MOROGORO ROAD,acha hao PANYA ROAD anaowaita PANYA LOAD wamtandike hadi Usukuma Gang wake uishe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
lete kwanza id yako ya zamani tujue tunakusaidiaje 😂😂
 
Wanaume wa dar kweli mandezi baada mpambane umekimbilia jf kushitaki!
 
Back
Top Bottom