Panyaa lodi wanatupiga huku tabata njoeni mtusaidie

Panyaa lodi wanatupiga huku tabata njoeni mtusaidie

Mpasuliwe tu na ikiwapendeza polisi nao wasije[emoji1].
 
Huyu mleta uzi ndiye aliyepewa kandarasi ya kuchapa vibao vya barabara vilivyoandikwa MOROGORO LOAD! badala ya MOROGORO ROAD,acha hao PANYA ROAD anaowaita PANYA LOAD wamtandike hadi Usukuma Gang wake uishe!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu mleta uzi ndiye aliyepewa kandarasi ya kuchapa vibao vya barabara vilivyoandikwa MOROGORO LOAD! badala ya MOROGORO ROAD,acha hao PANYA ROAD anaowaita PANYA LOAD wamtandike hadi Usukuma Gang wake uishe!
Sasa unaingia Mkoa wa mlogolo😂
 
Huyu mleta uzi ndiye aliyepewa kandarasi ya kuchapa vibao vya barabara vilivyoandikwa MOROGORO LOAD! badala ya MOROGORO ROAD,acha hao PANYA ROAD anaowaita PANYA LOAD wamtandike hadi Usukuma Gang wake uishe!
Huyu nyanda ovyo sana. Mwache apigwe!
 
Duuu Hua naona aibu Sana jamaa zangu napowaambia nipo Daslamu Kwa sababu ya mambo kama haya,
Sema majukumu ndio yananiweka hapa mjini ila Kwa mambo yanayoendelea kama haya ya mtoa mada daaaaaa,
Wanaume wa Dar mnakwama wapi?
😲😲😲😲
 
Jamii forum inaanza kukaribiana na facebook kwa mada za kipumbuvu. Sikuhizi imekuwa rahisi sana kufungua uzi JF
 
Dahhhh...🤣🤣🤣
Kumbe wanaume wa Tabata mnaliaga kwa sauti kuliko wake zenu...😂😂😂
 
Eti "panya lodi" kwa kujilegeza huko Hadi kwenye kuandika mtabakwa sana
 
Back
Top Bottom