BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
Hahahaa dah toka mwaka uanze we ndio umefanikiwa kunichekeshaPanya lodi wanatupiga huku njoeni mtusaidie
Jamiiforums njooeni mtusaidie
Mbona hutupi feedback na tunakuona online mkuuPanya lodi wanatupiga huku njoeni mtusaidie
Jamiiforums njooeni mtusaidie
Kinyerezi sarangaroad inawavutabangi sijapata kuona. Wanakula ndum mchana kweupeee. Ni watoto watoto tu. Sasa Hawa si ndio wanapagawagaItakuwa kimanga tu
Nipo hai ilikuwa balaaHahaha, jamaa bado yuko hai?
Tupatie full mkanda bossNipo hai ilikuwa balaa
Duh! Mkuu unaongea kiswahili kigumu.Panya lodi
Bangi ni starehe kama starehe nyingine... af wavuta bangi wakinyerez ni wastaarabu tu... unawasingizia tu me mwenyew naishi hukuKinyerezi sarangaroad inawavutabangi sijapata kuona. Wanakula ndum mchana kweupeee. Ni watoto watoto tu. Sasa Hawa si ndio wanapagawaga