Papa aruhusu Mashemasi kuoa huko Ufilipino. Je, itafaa Afrika?

Papa aruhusu Mashemasi kuoa huko Ufilipino. Je, itafaa Afrika?

busar

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,067
Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na katoliki unaoongezeka nchini humo. Papa Francis alikubali ombi la Baraza la Maaskofu Katoliki Ufilipino la kuanzisha "diakoni wa kudumu" ndani ya Kanisa la mahali, kulingana na barua ya Vatican mkutano uliopokea Septemba 12.

SHEMASI NI NANI KATIKA UKATOLIKI?
1. Shemasi ni msadizi wa kuhani (Padre, Askofu) katika shughuli za Ibada na majukumu mengine ya kutangaza injili
2. Shemashi ni daraja ( nafasi, cheo) kwa anaendaliwa kupewa daraja ya Upadre. Wako mashemasi ambao watabaki kuwa mashemasi daima na wako mashemasi ambao hao ni pitio tu la kusogea mbele. Hawa wa damage ndio wataruhusiwa kuoa huko Ufilipino.

Kwa Africa itafaa?
 
Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na katoliki unaoongezeka nchini humo. Papa Francis alikubali ombi la Baraza la Maaskofu Katoliki Ufilipino la kuanzisha "diakoni wa kudumu" ndani ya Kanisa la mahali, kulingana na barua ya Vatican mkutano uliopokea Septemba 12.

SHEMASI NI NANI KATIKA UKATOLIKI?
1. Shemasi ni msadizi wa kuhani (Padre, Askofu) katika shughuli za Ibada na majukumu mengine ya kutangaza injili
2. Shemashi ni daraja ( nafasi, cheo) kwa anaendaliwa kupewa daraja ya Upadre. Wako mashemasi ambao watabaki kuwa mashemasi daima na wako mashemasi ambao hao ni pitio tu la kusogea mbele. Hawa wa damage ndio wataruhusiwa kuoa huko Ufilipino.

Kwa Africa itafaa?
Ni bora u specify swali lako, uliza kama inafaa kwa wakatoliki kwa maana Africa siyo katoliki.
 
Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na katoliki unaoongezeka nchini humo. Papa Francis alikubali ombi la Baraza la Maaskofu Katoliki Ufilipino la kuanzisha "diakoni wa kudumu" ndani ya Kanisa la mahali, kulingana na barua ya Vatican mkutano uliopokea Septemba 12.

SHEMASI NI NANI KATIKA UKATOLIKI?
1. Shemasi ni msadizi wa kuhani (Padre, Askofu) katika shughuli za Ibada na majukumu mengine ya kutangaza injili
2. Shemashi ni daraja ( nafasi, cheo) kwa anaendaliwa kupewa daraja ya Upadre. Wako mashemasi ambao watabaki kuwa mashemasi daima na wako mashemasi ambao hao ni pitio tu la kusogea mbele. Hawa wa damage ndio wataruhusiwa kuoa huko Ufilipino.

Kwa Africa itafaa?
Ufilipino na nchi za America kusini vijana wengi hawataki kwenda upadre hivyo kuna upungufu mkubwa wa mapadre

Wameweka hicho kigezo kuvutia kama motisha kuwa ukiwa padre ruksa kuoa isiwe kesi njooni.Mtalipwa mishahara mpate pesa za kulisha familia zenu njooni
 
Dini zingine vituko,,,haijulikani wanasimamia wapi,yaani wakilala wakiamka wanakuja na hili,kesho Tena wakilala wakiamka wanakuja na lile.

Kwa Nini hamtafuti ukweli.???
JamiiForums-2066617636_111746.jpeg
 
Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na katoliki unaoongezeka nchini humo. Papa Francis alikubali ombi la Baraza la Maaskofu Katoliki Ufilipino la kuanzisha "diakoni wa kudumu" ndani ya Kanisa la mahali, kulingana na barua ya Vatican mkutano uliopokea Septemba 12.

SHEMASI NI NANI KATIKA UKATOLIKI?
1. Shemasi ni msadizi wa kuhani (Padre, Askofu) katika shughuli za Ibada na majukumu mengine ya kutangaza injili
2. Shemashi ni daraja ( nafasi, cheo) kwa anaendaliwa kupewa daraja ya Upadre. Wako mashemasi ambao watabaki kuwa mashemasi daima na wako mashemasi ambao hao ni pitio tu la kusogea mbele. Hawa wa damage ndio wataruhusiwa kuoa huko Ufilipino.

Kwa Africa itafaa?
Nitaisoma hii taarifa ili kuielewa vizuri, otherwise, ruhusu hii haipaswi kuwa ya Kikanda, inapaswa kuwa ya ulinganifu kwa wote.
 
Ufilipino na nchi za America kusini vijana wengi hawataki kwenda upadre hivyo kuna upungufu mkubwa wa mapadre

Wameweka hicho kigezo kuvutia kama motisha kuwa ukiwa padre ruksa kuoa isiwe kesi njooni.Mtalipwa mishahara mpate pesa za kulisha familia zenu njooni
Kaangilie ramani ya dunia ufilipino ipo wapi hoja yako inakosa nguvu kama kuna shida hiyo America ya kusini ufilipino ipo Asia ya mashariki
 
Dini zingine vituko,,,haijulikani wanasimamia wapi,yaani wakilala wakiamka wanakuja na hili,kesho Tena wakilala wakiamka wanakuja na lile.

Kwa Nini hamtafuti ukweli.???View attachment 2750970
Punguza umbea, Mashemasi wametajwa kwenye Biblia siku nyingi sana na kazi zao ziko dhahiri. Itakuwa huelewi kitu kingine zaidi ya kufuga majini.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kaangilie ramani ya dunia ufilipino ipo wapi hoja yako inakosa nguvu kama kuna shida hiyo America ya kusini ufilipino ipo Asia ya mashariki
Sijasema ufilipino iko Amerika ya kusini rudia kusoma
 
Back
Top Bottom