pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Umejuaje ataingia kaburini,Thubutu yake,hiyo jeuri hana na hatokuja kuwa nayo mpaka anaingia kaburini
Anaweza liwa na simba,
Au familia inaweza kuchoma badala ya kuzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje ataingia kaburini,Thubutu yake,hiyo jeuri hana na hatokuja kuwa nayo mpaka anaingia kaburini
Kwanini Waislamu hawakujitokeza kukemea?Kanisa limekuwa lawaimba kwaya saivi nilitegemea kanisa liwe mstari WA mbele kukemea na kutoa misaada ya kiutu mashambulizi na mauwaji yalivyokuwa yanatokea Iraq, Afghanistan, Libya ata Syria Ila sababu Ile ni jamii ya kiislamu na kanisa halioni nafasi ya kupata waumini wapya basi walikaa kimya na kukemea kimya kimya Ila Ukrein sababu wengi ni waothodox na kanisa katoliki linataka kuongeza wafuasi basi linakemea Kwa mbwembwe zote Hadi mfungo WA mwaka huu waliwekwa kwenye maombi ya kwaresma useless kabisaa
Kwanini Waislamu hawakujitokeza kukemea wenzao waliposhambuliwa/vamiwa. Hao hawana ushawishi so walikuwa wanasubiria kanisa ndiyo likemee?Na kwa sababu waliokuwa wanashambulia kule ni wamarekani kanisa likakaa kimya
Point kubwa sana hii. Viongozi wao pia wakemee pale wafuasi wa dini zao wanapovamiwa au kuhisi kuonewaMuslims mna viongozi wenu wa wakuu wa dini wanapoona mnaonewa na kukandamiza kwa nini wasitoe kauli? Mnasubiri kiongozi mkuu wa kanisa katoliki ndiye awasemehe?
Je huko kote unaposema hakukemea una ushahidi wowote wa kuthibitisha kwamba hakufanya hivyo?
Kama kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani ana haki na ni wajibu kwake kulinda waumini wake, hivyo yuko sahihi kukemea pale anapoona wafuasi wa dini yake wanashambuliwa na mabomu.
Kuna mauji kila siku yanafanyika nchini congo lakini wameshidwa kuyakemeaKiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis ameikosoa Urusi kwa kueleza kuwa vita dhidi ya Ukraine ni ishara ya kudidimia kwa hali ya ubinadamu na kwamba imesababisha mateso na majonzi.
Papa Francis (85) hakuitaja moja kwa moja Urusi lakini aliposema kuwa mashambulizi ya Mji wa Mariupol yamekuwa ya kinyama na kusababisha watu kuhamishwa kutoka katika mji huo ni wazi anakosoa mashambulizi yanayoendelea.
“Ninasikiika na kulia kwa watu wan Ukraine hasa wale ambao ni dhaifu, wazee, watoto… ni habari ya kusikitisha kuona watu wakihamishwa katika mji wao,” anasema Papa.
Kulingana na vyombo vya habari vya Urusi, jumla ya raia 46 wamehamishwa kutoka eneo lililo karibu na kiwanda cha chuma kilichozingirwa cha Azovstal katika mji wa bandari wa Mariupol.
Source: English Alarabiya
Ni bora papa angenyamaza tu huo ni unafikiUna uhakika hakuwasemea unaweza kuthibitisha?
Unaposema Putin analinda usalama wa Warusi basi na Papa yuko sahihi kutetea waumini wa kanisa lake tena yeye ni mchanganyiko wa watu tofauti tofauti anaowatetea.
Vyovyote itakavyokuwa lakini hatokuwa na hiyo jeuri huyo PutinUmejuaje ataingia kaburini,
Anaweza liwa na simba,
Au familia inaweza kuchoma badala ya kuzika
Ustaadhi umeshapanic tayarihaka kazee kakae KIMYA
PUT IN wanyooshe sawa sawa kwanza wanaongoza wao huko field
sikutegemea comment kama hii toka kwako.Kama ni mkatoriki utakuwa unajua padri hatakiwi kutoa siri za maungamo hata ukiungama umefanya jambo baya kiasi ganiHii kahawa ni chungu mno [emoji846]
Sasa uache kutudanganya eti 'baba yako alikwambia' yeye alifail kuwa Padre period.Si kila mtu ana hiyo karama,ni wachache sana na Baba yako hakuwa mmoja wao,hata angefikia daraja la ushemasi bado angepigwa chini.Yani mtu yuko huku kwenye Seminary ndogo ambako unafundishwa tu elimu ya kawaida ya Sekondary ndiyo awe na access ya kujua mambo makubwa kiasi hicho ndani ya Kanisa,walau angefikia kuwa Fratery ningekuelewa kidogo lakini huku kwenye Seminary ndogo ni uongo mkubwasikutegemea comment kama hii toka kwako.Kama ni mkatoriki utakuwa unajua padri hatakiwi kutoa siri za maungamo hata ukiungama umefanya jambo baya kiasi gani
Hii ni njia tu ya kuwasoma watu, na wala hakuna kutubu wala nini. Halafu utamsikia padri kwenye mahubiri anasema dhambi fulani imezidi hapa kwenye eneo letu, kumbe kapata data kwenye ki-box cha maungamo. Halafu waamini wajinga wanafikiri kafunuliwa na Roho wa Bwana!!uwa padri nyingine ni unafiki wa mapadri kwani maungamo ni siri ila mapadri walikuwa wanatoa siri za maungamo kwa wanafunzi na kisha kuwafukuza.
Umoja wa Asia ulikuwa kimya hlf unataka waende kule mwishowe ndo mseme wanatengeneza matatizo ili wakaibe na kueneza ukristu , dini ya mudi inattzo kubwa sn kwny ufahamu waoKanisa limekuwa lawaimba kwaya saivi nilitegemea kanisa liwe mstari WA mbele kukemea na kutoa misaada ya kiutu mashambulizi na mauwaji yalivyokuwa yanatokea Iraq, Afghanistan, Libya ata Syria Ila sababu Ile ni jamii ya kiislamu na kanisa halioni nafasi ya kupata waumini wapya basi walikaa kimya na kukemea kimya kimya Ila Ukrein sababu wengi ni waothodox na kanisa katoliki linataka kuongeza wafuasi basi linakemea Kwa mbwembwe zote Hadi mfungo WA mwaka huu waliwekwa kwenye maombi ya kwaresma useless kabisaa
yaan huyo baba ako ni hamnazo , kama kashindwa upadre , utumishi wa kwa wenzetu hatoueza , kwanz lzm uikubali jihad ( kwao jihad ni kuua wasio waislamu )Marehemu baba yangu alisoma seminari tena kipindi hicho walikuwa wanapendekezwa na askofu wa jimbo ambaye alikuwa ni Mmarekani.
Matokeo ya form 4 alifaulu vizuri ila alikataa kuendelea kusoma seminari ili awe padri kitendo kilichomkasirisha hadi askofu maana alimwandaa awe padri.
Aliniambia alikataa kwa sababu mbili, moja mama yake alikataa yeye kuwa padri nyingine ni unafiki wa mapadri kwani maungamo ni siri ila mapadri walikuwa wanatoa siri za maungamo kwa wanafunzi na kisha kuwafukuza. Huyu papa ni mnafiki si ajabu ni pandikizi la usa.
duh , dunia ina wajinga wengi sana , wengi bado wapo enzi za abunuasiAnang'ata tuu na kupuliza huyo na usikite ameplan yeye hiyo vita kupitia JESUITS naamin vatikan anaweza kumwondoa rais yeyote akipenda muda wowote kama akienda tofauti na matakwa yake....na kwa hili atakuwepo nyuma ya pazia (VATICAN RULES THE WORLD via USA)
bora umelitambua hiloHii kahawa ni chungu mno [emoji846]
nyinyi waafrika ndo wapumbav badala muulaumu muungano wenu kwa kukaa kimya unaenda kuwalaumu walio nje ya bara letuKuna mauji kila siku yanafanyika nchini congo lakini wameshidwa kuyakemea
kwan yy ni malaika ? yy ni binadamu na ana madhaifu km binadamu wengine na ndio maana unaambiwa usifuate matendo yake bali fuata ayanenayosikutegemea comment kama hii toka kwako.Kama ni mkatoriki utakuwa unajua padri hatakiwi kutoa siri za maungamo hata ukiungama umefanya jambo baya kiasi gani
Anachofanya Israel Palestine hajaona!?
kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofaui.Alikataa kwenda kusomea upadri sio alikuwa payaan huyo baba ako ni hamnazo , kama kashindwa upadre , utumishi wa kwa wenzetu hatoueza , kwanz lzm uikubali jihad ( kwao jihad ni kuua wasio waislamu )
kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti ndio maana waliweka mitihani.yaan huyo baba ako ni hamnazo , kama kashindwa upadre , utumishi wa kwa wenzetu hatoueza , kwanz lzm uikubali jihad ( kwao jihad ni kuua wasio waislamu )