Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umechanganya ID mm sio yule Mjinga Mimiduh , dunia ina wajinga wengi sana , wengi bado wapo enzi za abunuasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umechanganya ID mm sio yule Mjinga Mimiduh , dunia ina wajinga wengi sana , wengi bado wapo enzi za abunuasi
Ndio maana nikawahi kusema huko nyuma kuwa mnataka sisi sote tukemee mashambulizi ya Urusi kwa Ukraine sasa tunasema hivi haya mambo msitulazimishe tukemee kila mtu ana upande wake anaopendelea, tena basi hao Urusi ni wanajua dini yao ya Cristo kuliko nyinyi mnaotetea ugaidi, kwanza sera zenu ni kuwagawa watu na kuwatawala ambapo mkipata nchi dhaifu ni rahisi kufanya hivyo, mnapenda kumwaga damu na mko na furaha kufanya hivyo mifano mingi iko tokea vita vya 2 vya dunia au kwa mfano Vietnam Japan nk , sasaivi mmepeleka makundi ya magaidi ya Nazis nchini Ukrain na Urusi anawachapa alaf mnakuja hapa kulalamika eti Urusi anawaonea ?? Urusi anajilinda kutokana na makundi ya magaidi yalioanzishwa na marekani, Urusi anaujua Ukiristo kuliko nyinyiMuslims mna viongozi wenu wa wakuu wa dini wanapoona mnaonewa na kukandamiza kwa nini wasitoe kauli? Mnasubiri kiongozi mkuu wa kanisa katoliki ndiye awasemehe?
Je huko kote unaposema hakukemea una ushahidi wowote wa kuthibitisha kwamba hakufanya hivyo?
Kama kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani ana haki na ni wajibu kwake kulinda waumini wake, hivyo yuko sahihi kukemea pale anapoona wafuasi wa dini yake wanashambuliwa na mabomu.
Sasa kiambie tu hicho kizee kiendelee na maneno,Vyovyote itakavyokuwa lakini hatokuwa na hiyo jeuri huyo Putin
Hiyo jeuri hana na hatokuwa nayo kamwe.Kwanini nihangaike hata kumwambia the most Powerful person on Earth,au hujui hata hapa unatoa povu lako kwa hisani yao.Sasa kiambie tu hicho kizee kiendelee na maneno,
Baadae ndio utajua anayo jeuri au hana
[emoji3][emoji3] uwe unacomment ukijua ni kwa hisani yao, vinginevyo tusingejua hata kama una exist kwa Dunia hiiPutin maliza wazungu wote kabisa
Dunia ingekuwa mahali salama pa kuishi
Bila wazungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Putin maliza wazungu wote kabisa
Dunia ingekuwa mahali salama pa kuishi
Bila wazungu
Na wao wanacomment kwa hisani ya nani ?[emoji3][emoji3] uwe unacomment ukijua ni kwa hisani yao, vinginevyo tusingejua hata kama una exist kwa Dunia hii
Mimi siwezi kutoa povu kwa ajili ya kiongozi wa taasisi inayolea ushoga,Hiyo jeuri hana na hatokuwa nayo kamwe.Kwanini nihangaike hata kumwambia the most Powerful person on Earth,au hujui hata hapa unatoa povu lako kwa hisani yao.