Papa Francis aikosoa Urusi asema imefanya shambulizi la kinyama Mariupol

Papa Francis aikosoa Urusi asema imefanya shambulizi la kinyama Mariupol

Muslims mna viongozi wenu wa wakuu wa dini wanapoona mnaonewa na kukandamiza kwa nini wasitoe kauli? Mnasubiri kiongozi mkuu wa kanisa katoliki ndiye awasemehe?

Je huko kote unaposema hakukemea una ushahidi wowote wa kuthibitisha kwamba hakufanya hivyo?

Kama kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani ana haki na ni wajibu kwake kulinda waumini wake, hivyo yuko sahihi kukemea pale anapoona wafuasi wa dini yake wanashambuliwa na mabomu.
Ndio maana nikawahi kusema huko nyuma kuwa mnataka sisi sote tukemee mashambulizi ya Urusi kwa Ukraine sasa tunasema hivi haya mambo msitulazimishe tukemee kila mtu ana upande wake anaopendelea, tena basi hao Urusi ni wanajua dini yao ya Cristo kuliko nyinyi mnaotetea ugaidi, kwanza sera zenu ni kuwagawa watu na kuwatawala ambapo mkipata nchi dhaifu ni rahisi kufanya hivyo, mnapenda kumwaga damu na mko na furaha kufanya hivyo mifano mingi iko tokea vita vya 2 vya dunia au kwa mfano Vietnam Japan nk , sasaivi mmepeleka makundi ya magaidi ya Nazis nchini Ukrain na Urusi anawachapa alaf mnakuja hapa kulalamika eti Urusi anawaonea ?? Urusi anajilinda kutokana na makundi ya magaidi yalioanzishwa na marekani, Urusi anaujua Ukiristo kuliko nyinyi
 
Sasa kiambie tu hicho kizee kiendelee na maneno,
Baadae ndio utajua anayo jeuri au hana
Hiyo jeuri hana na hatokuwa nayo kamwe.Kwanini nihangaike hata kumwambia the most Powerful person on Earth,au hujui hata hapa unatoa povu lako kwa hisani yao.
 
Putin maliza wazungu wote kabisa

Dunia ingekuwa mahali salama pa kuishi
Bila wazungu
[emoji3][emoji3] uwe unacomment ukijua ni kwa hisani yao, vinginevyo tusingejua hata kama una exist kwa Dunia hii
 
[emoji3][emoji3] uwe unacomment ukijua ni kwa hisani yao, vinginevyo tusingejua hata kama una exist kwa Dunia hii
Na wao wanacomment kwa hisani ya nani ?
Ujue bila ya huyo hata na wao wasinge exist katika dunia hii ila wao hawataki kukubali ukweli,
So wacha tuwatandike vile kadiri tunaweza

Dunia bila wazungu ingekuwa sehemu salama sana
 
Hiyo jeuri hana na hatokuwa nayo kamwe.Kwanini nihangaike hata kumwambia the most Powerful person on Earth,au hujui hata hapa unatoa povu lako kwa hisani yao.
Mimi siwezi kutoa povu kwa ajili ya kiongozi wa taasisi inayolea ushoga,
Wangemalizana kwanza huko halafu ndio waje kwa waungwana,
Wazungu si watu wazuri

Dunia bila wazungu ingekuwa sehemu salama sana
 
Pufhgfpghfud
Ati most powerful kiongozi,
Shoga?!
Mbulaah bora hata ningekuwa putin saa hii nimeshamaliza kila kitu
Faragonosttyo
 
Back
Top Bottom