Papa Francis aikosoa Urusi asema imefanya shambulizi la kinyama Mariupol

Kwanini Waislamu hawakujitokeza kukemea?
 
Point kubwa sana hii. Viongozi wao pia wakemee pale wafuasi wa dini zao wanapovamiwa au kuhisi kuonewa
 
Kuna mauji kila siku yanafanyika nchini congo lakini wameshidwa kuyakemea
 
sikutegemea comment kama hii toka kwako.Kama ni mkatoriki utakuwa unajua padri hatakiwi kutoa siri za maungamo hata ukiungama umefanya jambo baya kiasi gani
Sasa uache kutudanganya eti 'baba yako alikwambia' yeye alifail kuwa Padre period.Si kila mtu ana hiyo karama,ni wachache sana na Baba yako hakuwa mmoja wao,hata angefikia daraja la ushemasi bado angepigwa chini.Yani mtu yuko huku kwenye Seminary ndogo ambako unafundishwa tu elimu ya kawaida ya Sekondary ndiyo awe na access ya kujua mambo makubwa kiasi hicho ndani ya Kanisa,walau angefikia kuwa Fratery ningekuelewa kidogo lakini huku kwenye Seminary ndogo ni uongo mkubwa
 
uwa padri nyingine ni unafiki wa mapadri kwani maungamo ni siri ila mapadri walikuwa wanatoa siri za maungamo kwa wanafunzi na kisha kuwafukuza.
Hii ni njia tu ya kuwasoma watu, na wala hakuna kutubu wala nini. Halafu utamsikia padri kwenye mahubiri anasema dhambi fulani imezidi hapa kwenye eneo letu, kumbe kapata data kwenye ki-box cha maungamo. Halafu waamini wajinga wanafikiri kafunuliwa na Roho wa Bwana!!
 
Umoja wa Asia ulikuwa kimya hlf unataka waende kule mwishowe ndo mseme wanatengeneza matatizo ili wakaibe na kueneza ukristu , dini ya mudi inattzo kubwa sn kwny ufahamu wao
 
yaan huyo baba ako ni hamnazo , kama kashindwa upadre , utumishi wa kwa wenzetu hatoueza , kwanz lzm uikubali jihad ( kwao jihad ni kuua wasio waislamu )
 
duh , dunia ina wajinga wengi sana , wengi bado wapo enzi za abunuasi
 
Kuna mauji kila siku yanafanyika nchini congo lakini wameshidwa kuyakemea
nyinyi waafrika ndo wapumbav badala muulaumu muungano wenu kwa kukaa kimya unaenda kuwalaumu walio nje ya bara letu
 
sikutegemea comment kama hii toka kwako.Kama ni mkatoriki utakuwa unajua padri hatakiwi kutoa siri za maungamo hata ukiungama umefanya jambo baya kiasi gani
kwan yy ni malaika ? yy ni binadamu na ana madhaifu km binadamu wengine na ndio maana unaambiwa usifuate matendo yake bali fuata ayanenayo
 
yaan huyo baba ako ni hamnazo , kama kashindwa upadre , utumishi wa kwa wenzetu hatoueza , kwanz lzm uikubali jihad ( kwao jihad ni kuua wasio waislamu )
kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofaui.Alikataa kwenda kusomea upadri sio alikuwa pa
yaan huyo baba ako ni hamnazo , kama kashindwa upadre , utumishi wa kwa wenzetu hatoueza , kwanz lzm uikubali jihad ( kwao jihad ni kuua wasio waislamu )
kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti ndio maana waliweka mitihani.
Hakuwa padri bali alikataa kuusomea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…