Papa Francis akutwa na Nimonia

Pole sana Papa...unatakiwa ustaafu sasa
 
Anatupima ili imani zetu zionekane kwa Matendo
Ili kubainisha waumini wa kweli na wanafiki
Mungu mjuzi wa vyote tangu mwanzo na hata milele, Anakupima nini asichokijua?

Kwani huyo Mungu hawezi kujua waumini wa kweli na wanafiki, Hadi awapime?

Au huyo Mungu hajui mambo yote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…