Papa Francis akutwa na Nimonia

Hiyo ndio njia aliyoamua kutumia na hapangiwi na yeyote.Hufanya anachotaka
Ni kama alivyoamua wewe utokane na tone la manii na si tone la mate au utokee ulipotokea na si mdomoni mwa Mama yako
Basi huyo Mungu ni mjinga sana.

Na hastahili kuwa Mungu maana hajielewi kabisa.

Huyo Mungu hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.
 
Mtangulizi
Alianza hivihivii kwann wanaumwa inimonia tu
 
Alikuwa na uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu lakini akashindwa kufanya hivyo.

Badala yake ameruhusu dunia yenye uovu na maovu.

Dunia ina uovu, halafu yeye hapendi maovu.

Huu ndio ujinga wake.

Kwanza si ujinga tu, bali ni upumbavu kabisa
Hakuna alichoshindwa ila kafanya hivyo kwa hekima zake maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…