Ujue tu kanisa linafundisha mateso ni mazuri. Wewe ndio unayaona mabayaHuyo Mungu, Alishindwaje kudhihirisha imani yake kwa kila mtu pasipo kutesa wengine?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue tu kanisa linafundisha mateso ni mazuri. Wewe ndio unayaona mabayaHuyo Mungu, Alishindwaje kudhihirisha imani yake kwa kila mtu pasipo kutesa wengine?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Yeah ni kweliWe jamaa ni mwanateolojia noma sana. Tukipata watu kama wewe wakani Mungu wote watatubu
Basi huyo Mungu ni mjinga sana.Hiyo ndio njia aliyoamua kutumia na hapangiwi na yeyote.Hufanya anachotaka
Ni kama alivyoamua wewe utokane na tone la manii na si tone la mate au utokee ulipotokea na si mdomoni mwa Mama yako
Basi kwanzia sasa muombe huyo Mungu akutese vya kutosha, Yani akushushie mvua ya mateso kama ni mazuri.Ujue tu kanisa linafundisha mateso ni mazuri. Wewe ndio unayaona mabaya
Ujinga wake upo wapiBasi huyo Mungu ni mjinga sana.
Na hastahili kuwa Mungu maana hajielewi kabisa.
Huyo Mungu hafai kabisa anastahili kufurushwa huko alipo.
MtanguliziNdugu zangu Watanzania,
Vatican imethibitisha kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis ameugua nimonia (bilateral pneumonia) hali inayohusisha maambukizi kwenye mapafu yote mawili.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka Vatican Madaktari wake wamebaini ugonjwa huo baada ya vipimo vya kitabibu na kwa sasa anapatiwa matibabu maalum huku hali yake ikiwa chini ya uangalizi wa karibu.
Papa Francis mwenye umri wa miaka 87 amekuwa na changamoto za kiafya kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na matatizo ya kupumua na maumivu ya mifupa hata hivyo Vatican imesisitiza kuwa anaendelea kupokea huduma bora za kitabibu na anaendelea vizuri matibabu.
Maelfu ya Waumini wa Kanisa Katoliki duniani kote wameendelea kumuombea afya njema huku Viongozi wa dini na Viongozi wa mataifa wakionesha mshikamano na kumtakia ahueni ya haraka.
#MillardAyoUPDATES
View attachment 3241793
Alikuwa na uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu lakini akashindwa kufanya hivyo.Ujinga wake upo wapi
Wasira kweli anao vitukuu wa kucheza naye! Sasa huyu akacheze na nani hata akistaafu? Pengine ndiyo maana anaendelea kung'ang'ania!UMRI WAKE HUO NDYO MANA ANATOA MAAMUZI YA HOVYO HOVYO.YEYE NA WASIRA NI MDA WAO KUCHEZA VITUKUU.
Hakuna alichoshindwa ila kafanya hivyo kwa hekima zake maalumAlikuwa na uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu lakini akashindwa kufanya hivyo.
Badala yake ameruhusu dunia yenye uovu na maovu.
Dunia ina uovu, halafu yeye hapendi maovu.
Huu ndio ujinga wake.
Kwanza si ujinga tu, bali ni upumbavu kabisa
Sio hekima bali ni upumbavu.Hakuna alichoshindwa ila kafanya hivyo kwa hekima zake maalum
Kwa nini ni upumbavuSio hekima bali ni upumbavu.
Unataka kutetea na kusifia upumbavu, kwa kuita hekima!
Hiyo sio hekima bali ni upumbavu.
Kwa sababu yeye hapendi uovu, ila ameshindwa kuumba dunia isiyo na uovu.Kwa nini ni upumbavu
Hakuna alichoshindwa ila kaamuaKwa sababu yeye hapendi uovu, ila ameshindwa kuumba dunia isiyo na uovu.
Wakati alikuwa na uwezo wa kuumba dunia isiyo na uovu.
Ila alishindwa kufanya hivyo.
Basi maamuzi yake ni ya kipumbavu.Hakuna alichoshindwa ila kaamua
Hapana si ya kipumbavu ila akili yako ni ndogo mnoooooo!!! kutambua hekima ya maamuzi yakeBasi maamuzi yake ni ya kipumbavu.
Wewe unahangaika kutetea upumbavu wa huyo Mungu hapa.Hapana si ya kipumbavu ila akili yako ni ndogo mnoooooo!!! kutambua hekima ya maamuzi yake
Upuuzi upiWewe unahangaika kutetea upumbavu wa huyo Mungu hapa.
Hakuna kitu unafanya hapa.
You are sugar-coating the truth.
Unajaribu kutetea upuuzi uonekane ukweli.
Unakumbuka benedicto xvi ? Alistaafu, ni kama kujiuzulu flani hivi baada ya kuona ana changamoto kadha wa kadha ikiwemo magonjwa ama sababu nyinginezo,,,kwa wakatolic papa akiomba kukaa kando anaruhusiwaHainaga kustaafu
Wa huyo Mungu.Upuuzi upi