Papa Francis akutwa na Nimonia

Afya ya Rais wa Vatican na Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani. Papa Francis ipo Mashakani. tumkumbuke kwenye sala zetu
 
Mimi ni Catholic ila nawazaga sana kwanini walikataa yule mcameroon kuwa papa hali ya kuwa walisema moshi umetokea kwake, asubuhi wakasema moshi ulikuwa mweusi mara sijui vinini aaghh wana ubaguzi mchakato wa kumpata papa kama tu uchaguzi wa Tz
 
Atakua ameshafariki na sasa wanatafuta namna ya kutangaza kifo chake!!

Alianza kusema sabato ni jumamosi badala ya jp!!

Rip in advance pope!!
 
Sasa hivi anaendeleaje?

View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1895171174016876682
 
Kiswahili kigumu, Kumbe Pneumonia kiswahili chake ndio NIMONIA?
 
Mimi ni Catholic ila nawazaga sana kwanini walikataa yule mcameroon kuwa papa hali ya kuwa walisema moshi umetokea kwake,
Nani alikataa? Huo moshi unamtokea anayechaguliwa au unatutokea watu tuliopo nje kusubiri aliyechaguliwa? Vitu vingine kama mtu hujui heri kupiga kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…