Papa Francis akutwa na Nimonia

Papa Francis akutwa na Nimonia

Kwani wewe unaamimini Mungu yupo ila mpumbavu au unaamini Mungu hayupo?
Siamini kwenye kuamini

Sina imani ya aina yeyote ile.

Siamini Mungu yupo au hayupo.

Napinga uwepo wa Mungu.

Siamini, bali napinga imani zenu na madai yenu ya uwepo wa Mungu.
 
Kafiri ni neno lenu la kiislamu.

Hata na nyie ni makafiri kwenye dini zingine.

Wewe ni kafiri kwenye ukristo.

Mimi si kafiri.

Mimi ni infropreneur.
Ni kweli mimi ni kafiri kwenye ukristo.Wewe ni kafiri kwa Mungu.
Neno "kafiri" si la kiislam bali ni la kiarabu likiwa na maana ya "mpingaji" ndio maana nikakuita wewe kafiri
 
Ni kweli mimi ni kafiri kwenye ukristo.Wewe ni kafiri kwa Mungu.
Neno "kafiri" si la kiislam bali ni la kiarabu likiwa na maana ya "mpingaji" ndio maana nikakuita wewe kafiri
Huyo Mungu aliumbaje binadamu makafiri?

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na ukafiri?

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wasio makafiri?
 
Back
Top Bottom