Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Mimi ni Muandventista Msabato. Umeelewa nilichoandika lakini? mambo ya chip sijui nini, ni uzushi wa shetani hayahusiani na alama halisi ya myama ambayo ni mafundisho ya uongo. Be careful!
Kwa kuanzia ni kuwa hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya propaganda za kisabato zinazofundishwa kwenye lessoni
.Sasa ngoja nianzie hapa..

Unajua huu upotofu wa tafsiri mbaya ya vitabu vya ufunuo na Daniel kwa Wasabato akuanzia leo...Ni historia ndefu...

Kanisa la Wasabato lilianza kama kikundi cha kiharakati kule Marekani lilianzishwa na William Miller aliyejiengua kutoka Kanisa La Baptist....

Miller alitumia muda mwingi kutafsiri Biblia ilo kujua ni lini Yesu atarudi...Alitumia vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana...

Ngoja nikae sawa nitaeendelea
 
Yule mama alikuwa na magonjwa ya akili ndio maana alipata maono ya ajabu kusema Yesu hakuja duniani ila alikosea njia na kwenda patakatifu pa patakatifu..

Hivi unafikiri mtu wa kawaida anaweza waza hivyo..? Ni kichaa pekee ....Sasa kwa bahati mbaya Wasabato wote bado wanaendeleza ukichaa wa huyu Bibi...



kwa lugha hizi mada itakuwa imepamba moto safi sana.
 
hivi ndugu yangu ni lini utaukimbia ukweli? nakushauri usome Biblia Takatifu na umwombe Mungu akufunue akili kabla hujachelewa maana huhitaji kuweka kidole kwenye moto ukibisha kuwa hauunguzi
Kuna miungu mingi sana ndugu, ni Mungu yupi unayemzungumzia? Nyie waumini mna kasumba ya kujiaminisha na kulishana upepo kwamba mungu wenu ni sahihi zaidi kuliko wa wenzenu! Tofauti yangu na waumini ni kwamba siamini katika mafinyofinyo yenu yooote mnayoiita deities!
 
Kwa kuanzia ni kuwa hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya propaganda za kisabato zinazofundishwa kwenye lessoni
.Sasa ngoja nianzie hapa..

Unajua huu upotofu wa tafsiri mbaya ya vitabu vya ufunuo na Daniel kwa Wasabato akuanzia leo...Ni historia ndefu...

Kanisa la Wasabato lilianza kama kikundi cha kiharakati kule Marekani lilianzishwa na William Miller aliyejiengua kutoka Kanisa La Baptist....

Miller alitumia muda mwingi kutafsiri Biblia ilo kujua ni lini Yesu atarudi...Alitumia vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana...

Ngoja nikae sawa nitaeendelea
I'm waiting.....
 
Kwa kuanzia ni kuwa hakuna cha maana ulichoandika zaidi ya propaganda za kisabato zinazofundishwa kwenye lessoni
.Sasa ngoja nianzie hapa..

Unajua huu upotofu wa tafsiri mbaya ya vitabu vya ufunuo na Daniel kwa Wasabato akuanzia leo...Ni historia ndefu...

Kanisa la Wasabato lilianza kama kikundi cha kiharakati kule Marekani lilianzishwa na William Miller aliyejiengua kutoka Kanisa La Baptist....

Miller alitumia muda mwingi kutafsiri Biblia ilo kujua ni lini Yesu atarudi...Alitumia vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana...

Ngoja nikae sawa nitaeendelea
Nikisoma mada zako nakulinganisha na yule kijana tajiri aliyetaka uzima wa milele.kwa maelezo yake alishika amri zote lakini Yesu almwambia amepungukiwa neno moja.akamwambia auze alivyo navyo awape maskini,jambo lililomshinda.Alishika amri lakini hakumjua Mungu wala uweza wake. Ndio maana Biblia husema "watu wangu huangamizwa kwa kukosa maarifa". Mungu akusaidie upate maarifa ya kumjua na sio kukariri hadithi za kutunga.
 
Mimi ni Muandventista Msabato. Umeelewa nilichoandika lakini? mambo ya chip sijui nini, ni uzushi wa shetani hayahusiani na alama halisi ya myama ambayo ni mafundisho ya uongo. Be careful!
Nikisoma mada zako nakulinganisha na yule kijana tajiri aliyetaka uzima wa milele.kwa maelezo yake alishika amri zote lakini Yesu almwambia amepungukiwa neno moja.akamwambia auze alivyo navyo awape maskini,jambo lililomshinda.Alishika amri lakini hakumjua Mungu wala uweza wake. Ndio maana Biblia husema "watu wangu huangamizwa kwa kukosa maarifa". Mungu akusaidie upate maarifa ya kumjua na sio kukariri hadithi za kutunga.


Nimesema narudi kuja kuleta historia ya huyu Mbaptist William Miller na Joseph Bates waliojiengua kwenye makanisa yao ya awali .Pia nitaleta historia ya Bi Hellena White aliyejiengua kutoka Methodist Church...

Nikimaliza hapo nitaleta pia jinsi Ellen G White Estate pamoja na GC zilivyoficha nyaraka za Ellen G White alizopinga uwepo wa Utatu Mtakatifu na kufanya kikundi cha kiharakati cha SDA mwaka 1863 kupata shida kukubalika Marekani.

Pia nikipata muda nitaweka sababu za Joseph Smith kujiengua kutoka Kanisa La SDA na kuanzisha Jehova Witness...

Stay tuned....Naweka nondo zangu vizuri....Ila nawaza niweke hapa au kyanzisha uzi kabisa....Nita ku-tag au kuku-mention.....Nitakushangaza
BekaNurdin nitaku-mention pia bila kusahau Ls man
 
Hakuna sababu ya kuhamaki. Kwanza ungekuwa na busara ungenishukuru. Mimi sipati faida yeyote kuleta taarifa hii, I am just helping you to make an imformed decision. Hata hivyo kama unataka kupata taarifa kamili
Google"Pope Francis goes public in support of the RFID implantation. " Kwanza taarifa hii is just a tip in the iceberg, mambo makubwa zaidi na ya kushangaza yatatokea katika kanisa la Katoliki katika siku za hivi karibuni!
moghasa
Hizi makitu zinatumika for a long time, sijui kwanini unayahusisha na iman conspiracy and backwardness@most
 
Kuna miungu mingi sana ndugu, ni Mungu yupi unayemzungumzia? Nyie waumini mna kasumba ya kujiaminisha na kulishana upepo kwamba mungu wenu ni sahihi zaidi kuliko wa wenzenu! Tofauti yangu na waumini ni kwamba siamini katika mafinyofinyo yenu yooote mnayoiita deities!

1. rejea kauli yangu; usiseme "nyie waumini" kwasababu sineni kwa niaba ya mtu yeyote.

2. rejea tena kauli yangu; sijazungumza kuhusu usahihi wa Mungu/miungu.

3. Mungu ninayemzungumzia ni MUNGU wa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo (Mathayo 22:32)
 
Mkuu hebu google "The secret oath of the Jesuits" uone picha kamili ya hili kanisa.Halafu unaweza pia ku-google "Child sacrifices in the Vatican."Inatisha na kutia woga mkuu.Kumbe tuliodhani ndio msaada wetu ni viongozi vipofu.Dah,mbaya sana.
Papa Fransisko (Wajesuiti) kama vile Obama, wote ni wapimga Kristo namba moja Dunia hii!
 
Mkuu hebu google "The secret oath of the Jesuits" uone picha kamili ya hili kanisa.Halafu unaweza pia ku-google "Child sacrifices in the Vatican."Inatisha na kutia woga mkuu.Kumbe tuliodhani ndio msaada wetu ni viongozi vipofu.Dah,mbaya sana.
Naona unakuja kwa kunyemelea.....
 
1. rejea kauli yangu; usiseme "nyie waumini" kwasababu sineni kwa niaba ya mtu yeyote.

2. rejea tena kauli yangu; sijazungumza kuhusu usahihi wa Mungu/miungu.

3. Mungu ninayemzungumzia ni MUNGU wa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo (Mathayo 22:32)

Sasa Mungu wa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo wewe Mapunda anakuhusu nini?
 
Katika hali ya kushangaza, Papa Francis amejitokeza hadharani kuunga mkono matumizi ya vichipu vya RFID, yaani Radio Frequency Identification kwa wanadamu. Amesema tekinolojia hii inaleta matumaini makubwa katika kutatua matatizo mengi ya wanadamu na hivyo kuboresha ustawi wao.

Matamshi haya yanakuja huku akijua msimamo wa kiimani wa makanisa mengi ya Kikristo na hata kanisa Katoliki lenyewe. Makanisa mengi ya kikristo yanaamini kwamba RFID chipping ni alama ya mnyama au Shetani kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Ufunuo. Tukio hili kufuatana na imani ya makanisa haya, linaashiria mwisho wa dunia.

Katika kitabu cha Ufunuo13 msitari wa 16-18 tunasoma maneno haya, 16Naye alimlazimisha kila mtu, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea chapa katika mkono wake wa kulia au paji la uso, 17 ili kila mtu asiweze kununua au kuuza mpaka awe na hiyo chapa, ambalo ndilo jina la huyo mnyama au namba ya jina lake. 18 Hii inahitaji hekima, kama mtu ana ufahamu aitafute namba ya huyo mnyama, kwa sababu ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.

Kwa wale wachunguzi watakubaliana na mimi kwamba namba hii inatumika sana siku hizi.Wapo ambao wanaitumia kwa uwazi kwenye bidhaa. Wanamuziki wa Rock hasa nchi za Ulaya na Marekani nao wanaitumia sana, lakini wengi wanatumia kwa siri, kwa hiyo inahitaji umakini mkubwa kuweza kujua kwamba ni 666. Hata logo ya Olympic ina namba 666. Matumizi ya namba hii kwenye barcodes ni wazi kidogo!

Katika hotuba yake ya kila wiki Vatican, Papa alizungumzia juu ya imani aliyonayo kwenye tekinolojia ya RFID. Aliwahakikishia waumini wake kwamba hakuna athari zozote za kiroho au kiafya zinazoweza kutokana na matumizi ya vichipu vya RFID. Hata hivyo inafahamika kwamba yapo matatizo makubwa ya kiafya yanayoweza kutokana na matumizi ya vichipu vya RFID vinapochoka, ikiwa ni pamoja na maumivu makali mwilini na majipu mwili mzima.

Aliendelea kwa kusema wamechunguza maandiko vizuri na hivyo wanaweza kusema kwamba hakuna ushahidi wowote unao-onyesha kwamba vichipu vya RFID ambacho kinawekwa mwilini kina muwakilisha Shetani. Nadhani alisahau Ufunuo 13:16-18! Aliongeza kusema RFID ni baraka kutoka kwa Mungu mwenyewe ambayo ameileta kwa wanadamu.

Aliwaomba wauminu wa Kanisa Katoliki waipokee baraka hii kwa moyo mmoja. Alimalizia kwa kusema kuanzia sasa itakuwa lazima kwa kila mfanyikazi wa Vatican kuwekewa kichipu cha RFID.

Kusoma zaidi:Google "Pope Francis goes public in support of RFID implantation. "

MBONA PIA MABASI YA MWENDO KASI YA HIZI NAMBA NI KWANINI?
 
Kumbe upo,dah,nashukuru bwana.Naona unani-mind sana.Labda hizi nondo zitakusaidia kuchomoka huko.Nina nia njema, sio mbaya mkuu,ingawa uliniita kila jina baya hapa duniani.Kama nilivyosema awali,ni muhimu kila mtu aka-make informed decisions,sio kuburuzwa.Umaamuma ni mbaya sana.
Naona unakuja kwa kunyemelea.....
 
Katika hali ya kushangaza, Papa Francis amejitokeza hadharani kuunga mkono matumizi ya vichipu vya RFID, yaani Radio Frequency Identification kwa wanadamu. Amesema tekinolojia hii inaleta matumaini makubwa katika kutatua matatizo mengi ya wanadamu na hivyo kuboresha ustawi wao.

Matamshi haya yanakuja huku akijua msimamo wa kiimani wa makanisa mengi ya Kikristo na hata kanisa Katoliki lenyewe. Makanisa mengi ya kikristo yanaamini kwamba RFID chipping ni alama ya mnyama au Shetani kama ilivyoelezwa katika kitabu cha Ufunuo. Tukio hili kufuatana na imani ya makanisa haya, linaashiria mwisho wa dunia.

Katika kitabu cha Ufunuo13 msitari wa 16-18 tunasoma maneno haya, 16Naye alimlazimisha kila mtu, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea chapa katika mkono wake wa kulia au paji la uso, 17 ili kila mtu asiweze kununua au kuuza mpaka awe na hiyo chapa, ambalo ndilo jina la huyo mnyama au namba ya jina lake. 18 Hii inahitaji hekima, kama mtu ana ufahamu aitafute namba ya huyo mnyama, kwa sababu ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.

Kwa wale wachunguzi watakubaliana na mimi kwamba namba hii inatumika sana siku hizi.Wapo ambao wanaitumia kwa uwazi kwenye bidhaa. Wanamuziki wa Rock hasa nchi za Ulaya na Marekani nao wanaitumia sana, lakini wengi wanatumia kwa siri, kwa hiyo inahitaji umakini mkubwa kuweza kujua kwamba ni 666. Hata logo ya Olympic ina namba 666. Matumizi ya namba hii kwenye barcodes ni wazi kidogo!

Katika hotuba yake ya kila wiki Vatican, Papa alizungumzia juu ya imani aliyonayo kwenye tekinolojia ya RFID. Aliwahakikishia waumini wake kwamba hakuna athari zozote za kiroho au kiafya zinazoweza kutokana na matumizi ya vichipu vya RFID. Hata hivyo inafahamika kwamba yapo matatizo makubwa ya kiafya yanayoweza kutokana na matumizi ya vichipu vya RFID vinapochoka, ikiwa ni pamoja na maumivu makali mwilini na majipu mwili mzima.

Aliendelea kwa kusema wamechunguza maandiko vizuri na hivyo wanaweza kusema kwamba hakuna ushahidi wowote unao-onyesha kwamba vichipu vya RFID ambacho kinawekwa mwilini kina muwakilisha Shetani. Nadhani alisahau Ufunuo 13:16-18! Aliongeza kusema RFID ni baraka kutoka kwa Mungu mwenyewe ambayo ameileta kwa wanadamu.

Aliwaomba wauminu wa Kanisa Katoliki waipokee baraka hii kwa moyo mmoja. Alimalizia kwa kusema kuanzia sasa itakuwa lazima kwa kila mfanyikazi wa Vatican kuwekewa kichipu cha RFID.

Kusoma zaidi:Google "Pope Francis goes public in support of RFID implantation. "


MMEAMBIWA MTAFUATA MILA ZAO KWA KUJUA AU KWA KUTO KUJUA...HIVYO MJIANDAE...KAMA WEWE NI MCHA MUNGU KILA LINALOKUJA JIHOJI MARA MBILI MBILI KWANINI USIKUBALI TUU..........PIA KATIKA HAO HAO WAUMINI WAKUBWA ANAWEZA KUWA NI MMOJA WA WAFUASI WAO PASIPO NYIE KUJUA...NA NDIO MAANA KAMA MLIMSIKIA YULE KIONGOZI WA MPINGA KRISTO ALIYE HAPA TANZANIA ALISEMA HAWAMZUII MTU KUABUDU DINI YAKE YEYOTE TENA WANATAKA WAUMINI HIVYO:

SISHANGAI KUSIKIA POP NI MFUASI WA MPINGA KRISTO
PIA SISHANGAI KUSIKIA SHEIKH NI MFUASI WAO PIA..
Watatumia wanja huo huo wa uumini ili kuwapata walio wengi...vipengele vya biblia au quran vitabadilishwa kiaina pasipo nyie kugundua....Hivyo kila mtu kichwa chake na akili yake aliyopewa na Muumba
 
Ni swali zuri.Sina hakika na unachokisema,lakini kama kweli umeiona namba 666, ina maana kwamba kampuni hiyo inamilikiwa na Satanist ambaye anamuabudu Shetani.Symbology ina maana sana kwa Satanists.Ni kwamba Satanist anapoitumia symbol yeyote inayomuwakilisha Shetani,kwanza anajitambulisha kwa Satanists wenzie,lakini pia ni kama maombi kwamba utawala wa Shetani uje.Ni kama wewe kama ni Mkristo katika sala ya Bwana unaposema "UFALME WA MUNGU UJE,"Satanists wao kwa matumizi symbols kama 666 wanasema "ufalme wa Shetani uje.'
MBONA PIA MABASI YA MWENDO KASI YA HIZI NAMBA NI KWANINI?
 
Back
Top Bottom