Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Hawanaga hoja zaidi ya maneno ya kijiji cha abunuasi. Ahahahaaaaaaaaa
Kuna mmoja ni Msabato nilivyoanza kutoa historia ya dhehebu lake mpaka sasa hivi sijamuona...

Hawa watu ukiwapiga maswali yenye kuleta logic wanaishia kukuita Pepo....Kama huyu kubwa jinga Chemtrail iliishia kuniita freemason ....daaah
 
Sidhan hata siku moja kama dini litampeleka mtu mbinguni, dini zote ni bora so sioni umuhimu wa kuanza kuiponda dini nyingine muhimu tangaza mazuri ya dini yako ili ushawishi watu waje kwenye dini yako. IMANI pekee ndio itakupeleka mbinguni!!
 
Rudi kwenye mada
 
Katika watu siwelew na stakuja kywaelewa akiwepo na huyo n mchonganish balaa
 
Mbona ya kwangu hujajibu.Hata hivyo nimesema sijibu maswali ya kizushi.
Kweli we mkuu ni moja ya ***** waliobaki jf unaanzisha uzi afu unaogopa kujibu maswali na kuyaita yakizushi huku na ww mwenyewe ulivyo ****** umesahau ya kwamba hata mada yako ni ya kizushi hahahaha so funny
 
Zama zilizo tabiliwa zinakuja soon ufunuo ukiisoma unaweza fumba macho kinaeleza makubwa kuhusu huu mwisho wa hii dunia na haya mahuzahuza tunayoletewa na hawa wanaojiita wanasayansi
 
Tangu mwaka 2012 nilishaamua kuokoka baada ya kusoma vizuri kabisa kitabu cha UFUNUO, huwezi kutenganisha Papa na mpinga kristo katika kumtumikia bwana wao ibilisi.

Niwakumbushe tu kuwa PAPA ni lango ktk kanisa katoriki, nikisema lango wenye ufahamu mkubwa katika ulimwengu wa roho wamenielewa.
 
Ma
Matumizi ya hii kitu RFID ilianza zamani kutumika kwa binadamu: Mf; for security reasons na treceability ya wezi, wafungwa, mateka na vibaka
 

Kama mpinga KRISTO analeta Unafuu kuishi hapa duniani kwa wepesi sio Mpinga KRISTO huyo hata Yesu Alisema [emoji117] mpinga KRISTO ni msabato anaefikia kuhimiza watu wale makande [emoji15] [emoji4]
 
Awali mlisema pope ndo mpinga Kristo
Sasa mnasena ananuunga mkono mpinga Kristo,
Anaewakarilisha haya ni nani?
Lini mtafikili kwa akili zenu wenyewe?
 
Soma 1Yohana 2:22 au hata unaweza kuanzia mistari ya nyuma kidogo upate kujua mpinga kristo ni mtu wa aina gani..acha na stori za kuunga unga hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…