Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Ww ndo mpuuzi
 
Ww sababu u roma hvyo hupendi sikia ukweli hta km Papa wenu anawaunga mkono Freemason
 
Waaambie hao waroma wasojua vzr bible
 
MTAJIJU!

hayo maombi yenu hayafanyi kazi ama..?
Usije ukafikiri uko salama kwa kutokuwa mmoja wao, imani yenyewe uliyonayo haba. Sema tutajiju na umkimbilie Mungu. Shetani ana nguvu kuliko dini/dhehebu lako!
 
Usije ukafikiri uko salama kwa kutokuwa mmoja wao, imani yenyewe uliyonayo haba. Sema tutajiju na umkimbilie Mungu. Shetani ana nguvu kuliko dini/dhehebu lako!
MTAKOMA TU!
mzunguko mzungukoni
 
Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili, huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga kristo..every knees shall bow down na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni Bwana..time will tell!
 
Waaambie hao waroma wasojua vzr bible
Hivi kumbe kuchambua agano la kale pekee ni kuijua Bible vizuri?? !![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji32][emoji32] Nilikua sijui[emoji125] [emoji125]
 
Nanii wakunambia kwa nini papa Benedict wa kumi na sita alijiuzuru kwa kigezo cha kusingizia umri ndo akachaguliwa huyu francins
 
Hamphnicky

Mpinga Kristo namba MOJA ni Mzanzibari Huru

Kamanda, unanisingia bure mimi simpingi yesu

lakini nisemalo ni kwamba yesu wa bibiliani never existed, wewe ukiweza kutowa ushahidi kama kweli kulikuwa na mtu anakwenda juu ya maji sawa, mbona hakuna kitabu chochote cha historia ukiondosha agano jipya kiloandika matukio makubwa munayodai kafanya yesu.

Nikisema wanahistoria waliokwepo siku ambazo ndio yesu alitakiwa kuwepo kwa mujibu wenu, waandishi kama wa kiroma kama vile Tacitus, na kiyahudi kama vile Josephus, hakuna alosema kuna mtu alikuwa mungu akitembea juu ya maji, au kifufua watu, au akigeuza maji kuwa ulevi, au akilisha watu 5,000 kwa samaki 2 na vipande 5 vya mkate.

sasa ikiwa wewe unao ushahidi lete

ahsante
 
Source;chill source
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…