Haya kiandike Sasa.Naandika nafuta, naandika nafuta,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya kiandike Sasa.Naandika nafuta, naandika nafuta,
Sioni ulichotofautiana na mama D, hujaanisha manufaa yoyote katika maelezo yako.Mmmm..Sikubaliani sana na hilo kwamba hazina maana kabisa. Ni Lazima mama D ujue kwamba wanao zalisha hizo Clips wako kibiashara zaidi - usidhani wanaEnjoy -Hapana.
Ni kwa njia hiyo mkono unaenda kinywani.
Lakini pia Huwezi kuishi umejifungia tu ndani ya box lako - ni lazima ujue na kinachoendelea huko nje.Yale yanayoendelea huko nje na unatakiwa uwe na habari nayo ni pamoja na uwepo wa utitiri wa Porn videoclips . Sasa utajua ubaya/madhara ya hizo porn clips ni yapi na Zinapatikana wapi n.k. ili leo na kesho ukimwona umpendaye akiwa katika eneo la "Zinapatikana wapi" uweze kumshauri(adult) au kumkataza(mtoto).
Kwahy hadi maparoko wanaangaliaga PILAU hii dunia Sasa too muchPapa Francis amekiri kwamba pornography ni tatizo kubwa kwani hata Mapadri na Sisters ni wapenzi wakubwa sana wa kuangalia hizo video.
Papa amesihi viongozi hao wa dini kuacha kuangalia ngono za mitandaoni kwani hapo ndio njia ya shetani kuwaingia.
---
Pope Francis has warned priests and nuns about the dangers of watching pornography online, saying it "weakens the priestly heart".
The Pope, 86, was responding to a question about how digital and social media should be best used, at a session in the Vatican.
Pornography, he said, was "a vice that so many people have... even priests and nuns".
"The devil enters from there," the Pope told priests and seminarians.
As to how to navigate social media and the digital world, he said that they should be used but told them not to waste too much time on it.
"The pure heart, the one that Jesus receives every day, cannot receive this pornographic information," he said.
He advised the group to "delete this from your phone, so you will not have temptation in hand".
Church teaching sees pornography as an offence against chastity.
Ukirudia kusoma kwa umakini utaona nimesemea juu ya ubaya na madhara (i.e.zinakuwa ni kitu cha awareness creation) halafu kuchukua tahadhari.Sioni ulichotofautiana na mama D, hujaanisha manufaa yoyote katika maelezo yako.
Kweli ukristo sio diniPapa Francis amekiri kwamba pornography ni tatizo kubwa kwani hata Mapadri na Sisters ni wapenzi wakubwa sana wa kuangalia hizo video.
Papa amesihi viongozi hao wa dini kuacha kuangalia ngono za mitandaoni kwani hapo ndio njia ya shetani kuwaingia.
---
Pope Francis has warned priests and nuns about the dangers of watching pornography online, saying it "weakens the priestly heart".
The Pope, 86, was responding to a question about how digital and social media should be best used, at a session in the Vatican.
Pornography, he said, was "a vice that so many people have... even priests and nuns".
"The devil enters from there," the Pope told priests and seminarians.
As to how to navigate social media and the digital world, he said that they should be used but told them not to waste too much time on it.
"The pure heart, the one that Jesus receives every day, cannot receive this pornographic information," he said.
He advised the group to "delete this from your phone, so you will not have temptation in hand".
Church teaching sees pornography as an offence against chastity.
Kweli kabisa ,ulaya ndio kuna viwanda vikuu vya uzalishaji wa hizo videos hawa jamaa hawana nia njema.Pornography inapaswa kufutwa dunia nzima maana ni uharibifu na ubatili.
Huwa wanaangalia pamojaKuangalia pamoja ama KILA mtu na simu yake
Kwa hiyo wakristo wote duniani wamezalishwa na waislamu ?Wakristo ni mahanisi
Hutumika kama shule ya kujifunzia mbinu za kimapenzi kwa sababu hakuna darasa rasmi la kujifunza mambo hayo.Sio kwa watawa tuu hata kwa wanandoa video za ngono sio za kuangaliwa
Hazina maana kabisa
Hutumika kama shule ya kujifunzia mbinu za kimapenzi kwa sababu hakuna darasa rasmi la kujifunza mambo hayo.
Sasa tutajifunzia wapi mastyle jamani? Mautundu yote yapo muleSio kwa watawa tuu hata kwa wanandoa video za ngono sio za kuangaliwa
Hazina maana kabisa
Newton hakuoa maisha yake yote dunian lakn sijui kama ajawah kula tundaBibie; Inawezekana kabisa.Mfano hai ni Yesu mwenyewe. Yesu alikuwa mwanadamu alkini pia wapo wengi tuu walioweza kutoka mataifa mbalimbali duniani (including wanasayansi maarufu) hata hapa tz. We fuatilia tu utawajua.
Hakuna cha ajabu nimehabarisha tuSasa Nini Cha ajabu hapo? Wanaangalia jinsi watu wanavyotenda dhambi Ili wakawahubirie vizuri.