Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

Angeulizwa kwanza alikuwa na maana gani ili tusikie maelezo yake.

Hata hivyo huyo Mrembo kwani ni jini, naye si binaadamu pia?.
 
Juzi Papa kasema ushoga ni haki, mara ka-like picha ya kahaba.... mimi ni nani?
 
Natalia nae eti anajihisi Kafika peponi [emoji1787]
 
Ila hata mimi ningekua papa sitaki unafiki ninge" like " kadada kametuliaa au siyo?[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Huyu jamaa hafi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…