Papa Francis asema wanachokifanya Israel ni ugaidi

Papa Francis asema wanachokifanya Israel ni ugaidi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
My take:
1. Kwa sasa najikita katika haki za binadamu tu, as long as mtu hamdhuru mtu mwengine, kesi yake namuachia mwenyewe na Mungu.

2. Watu weupe hasa wa magharibi wana utu sana na wanajitahidi kutumia logic, hisia za dini haziwapeleshi.

4. Waafrika wengi wanaroho mbaya sana na wanaendesha na hisia na wamejawa na chuki. Na wana low emotional intelligence.

3. Mtaji mkubwa wa Israel ni wakiristo wenye chuki na uislam au waislam na wafia dini wasiojua kutofautisha Israel na Ukiristo

4. Huhitaji dini kua mtu mwema.


View: https://x.com/RaggedTP/status/1774381873369632786?s=20
 
Jamani huyo shetani anayefanya hamas aendelee kushikilia mateka 134 huku wapalestina wanaangalia ni hatari , na watu hawashiriki wanaendelea tu kusifu hamas. Ni muda mwafaka wa kuingia kwenye maombi mazito sana ili hamas na Israel utu uwaingie.
 
Jamani huyo shetani anayefanya hamas aendelee kushikilia mateka 134 huku wapalestina wanaangalia ni hatari , na watu hawashiriki wanaendelea tu kusifu hamas. Ni muda mwafaka wa kuingia kwenye maombi mazito sana ili hamas na Israel utu uwaingie.
Hayo maombi mtapa laana tu Gaidi Marekani na washirika wake na waisaral weusi kama nyie mshangilia kuiliwa zaidi ya watoto na wanawake 25,000 huyo mungu mnae muomba atakuwa msege 🤣
 
Hayo maombi mtapa laana tu Gaidi Marekani na washirika wake na waisaral weusi kama nyie mshangilia kuiliwa zaidi ya watoto na wanawake 25,000 huyo mungu mnae muomba atakuwa msege 🤣
God Bless Israel

🇮🇱 🇮🇱 🇮🇱
 
Watu matunguli hayasomi huko hata ulaya...hali mbaya
 
Kwani hamas kuna ubaya gani kuwachia wale mateka . Yani kila siku wanakufa nusu ya mateka walio washikilia bado jamaa hawawaachi
 
mh! mbona hao hamas ndio walianzisha vurugu!!,sasa alieanzisha na aliejibu nani gaidi hapo..?
huyu nae naona kauli yake ni ya kuhadaa tu!,mi mwenyewe ukija kunivamia lazima nijitetee na kama nakumudu timbwili nalihamishia sebureni kwako!,watu wabishi inabidi uwapeleke kibishi dawa ya moto ni moto tu!.. hamas waliyataka!
 
🔹 Wanachokifanya waizrael kwa Palestrina kuwa eti kitabu Chao na sheria zao za zamani zimeandika hapo ni nchi Yao ya ahadi ni kitendo Cha kigaidi

🔹 Wanachokifanya baadhi ya Waislam kuwapiga watu wanaokula hadharani mwezi wa ramadhani eti Wana sheria za kidini zinasema hivyo ni kitendo Cha kigaidi

🔹 Wanachokifanya wahindi kuwauwa Waislam kwa sababu Wana vitabu vyao vinavyosema dini pekee ni Kihindu ni kitendo Cha kigaidi
 
Ni kweli na hii ni sawa sawa kabisa na Yale mavijana ya hovyo yanayotembea na bakora kuwachapa watu wanaokula hadharani kwa kuona dini Yao ni Bora kuliko dini nyingine
Hizi dini zinafuga majitu majinga jinga.
 
Sema hili POPE lina ubabe fulani ...and doesn't give a ff..k
 
Roma Lacuta Causa Finita 🤝

Israel inatosha sasa. Amani irejee🇮🇱🇯🇴
 
Vita ya pale haina uhusiano na dini ,kwa vile palastine kuna wakristo ila waislamu ni wengi.

sio ya dini tunasema kila siku .

Miaka ya nyuma hawa wayahudi walihifahdiwa kama ndugu na hao wapalestina kwa kupewa identity ya uislamu ili wapone ila baadae

Vita hii wakristo ni wajinga wanatetea wayahudi wa mchongo kwa kusema lile ni taifa teule😅😅😅hapo ndio sababu yao , wana mpaka bendera .

Hao waislamu wa kipalestine walionya wasiwapokee ila leo ndio madhara ,walifoji mpaka nyaraka ili wanawaonekane dnugu

Pia maandiko yanasema hao manaswar wanawaona mayahudi kama marafiki zao...Ndio haya yanayoendelea wakristo wanaona hao jamaa ni ndugu zao mpaka wanaweka bendera ,eti taifa teule .😅😅
Screenshot_20240325-162609.png
 
My take:
1. Kwa sasa najikita katika haki za binadamu tu, as long as mtu hamdhuru mtu mwengine, kesi yake namuachia mwenyewe na Mungu.

2. Watu weupe hasa wa magharibi wana utu sana na wanajitahidi kutumia logic, hisia za dini haziwapeleshi.

4. Waafrika wengi wanaroho mbaya sana na wanaendesha na hisia na wamejawa na chuki. Na wana low emotional intelligence.

3. Mtaji mkubwa wa Israel ni wakiristo wenye chuki na uislam au waislam na wafia dini wasiojua kutofautisha Israel na Ukiristo

4. Huhitaji dini kua mtu mwema.


View: https://x.com/RaggedTP/status/1774381873369632786?s=20

mimi silitambui kabisa israel kama taifa la Mungu tena..na vile vile huyu papa alitakiwa angalau aweke utaratibu wa kuomba msamaa kila mwezi kwa kile katoliki walichokifanya karne za nyuma ....roma ya kidini iliua mamilion wasiohesabika.....ni dini pekee ambayo iliidhinisha mauaji ya wakristo walioipinga so sad.
 
Wataanza kuleta ushoga ,kutembea uchi ... Nawakubali Iran hawataki hao wazungu maisha pole kuwafunga.
Walete ushoga au wajazilizie maana ninyi na wazungu sawa tu,mnavyoviongea hamvitendi yaani kiufupi nyie ni kama mafalisayo.Mchana mnausema ushoga usiku mnautenda,Kuna utafiti ambao unasema wanawake wa kiislamu 90% hawana Malinda,huko Zanzibar kutoka raia,askari hadi wafungwa ni kutinduana kwa kwenda mbele.
download_100608.jpeg
 
Ukweli ni kwamba walipingana na Qur an walipowakaribisha hao ndio tatizo ,pale Iran wakikaribisha hao jamaa ipo siku wataletewa vita ndio maana wameban hao watu maana wanajifanya wana haki sana .

Wataanza kuleta ushoga ,kutembea uchi ... Nawakubali Iran hawataki hao wazungu maisha pole kuwafunga.
Unapenda kufilwafilwa
 
Back
Top Bottom