Papa Francis asihi waliotekwa waachiwe huko Israel na Palestina

Kumbeeee! Mimi siku zote nadhani Israel ndio mchokozi kujitanua. Kumbe muarabu ndio kima. Basi wacha wachezee kipigo kitakatifu.
 
Huyo papa tangu aruhusu ndoa za mashoga nilishamtoaga thamani.
 
Nimesoma uzi na comments zake zote. Nilichokiona hapa watu wengi wanacomment kwa chuki tu dhidi ya papa, lakini alichokiongea ni hekima ambayo tangu mgogoro huu umeanza wengi wameikosa. Wengi wanaozungumza, wakubwa kwa wadogo, wameishia kuegemea upande mmoja pekee lakini papa kawa neutral kabisa.

Neutrality ya papa ipo wazi kiasi cha kila aliyesoma uzi kuelewa. Ndo maana katika attackers wote kwenye uzi huu hakuna aliyeweza kunukuu kauli ya papa anayoipinga kwa sababu ukipinga kwa kunukuu hoja lazima utapuyanga tu.

Wakati wenye kuegemea upande mmoja wakizungumza tunapiga kelele wawe neutral kwenye mzozo, halafu walio neutral nao tunawatusi wao binafsi kwa chuki zetu za kichawi bila hata kuzingatia walichokizungumza. Waafrika (hasa wabongo) sijui tulirogwa na nani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…