Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

On one bed is right for men to men in case of sleeping broo
 
Jamanii

Ukristo upo kwenye Biblia hauko ukatoliki.

Katoliki Wana vitabu vyao vya kuabudu.

Katoliki Wana ibada zao Hata katika Maandiko hazipo kama Ijumaa ya majivu

Katoliki Wana Bikira Maria mama wa Mungu ambae alipalizwa mbinguni na wakati kaburi la Maria mkewe Joseph lipo pale mpaka Leo.

Katoliki Wana ibada nyingi wanazo zijua.tofauti na Biblia

Hivyo ni Sawa tuu maana wanaongozwa na ma Papa wa vatikani kama ndo Mungu wao.Yaan wanamnyenyekea binadamu mwenzio kama Mungu kweli.
 
Kwanza kuna mambo mengi yalishanichanganya ndani ya hili kanisa langu,ambayo naona hayapatani na Biblia kwa ujumla wake. Sasa hili ndo funga kazi kwa utata wote, niko mbioni kuachana na hili dhehebu langu.

Inasikitisha sana ila basi tu.
Hakika chomoka humo ndugu ukwepane na Moto wa shetani Kaka.

Maana Biblia inasema ikimbie ibada ya Sanamu.

Biblia ina maelekezo yote katika kusali kusifu kutoa sadaka na kila kitu.

Lakini humo ni udosholele tuu ndugu.

Kikubwa Okoka uwende mbinguni Kwa kushika ya Mungu
 
Two men in one bed! One will be taken, it means not to allow the activity to continue. Definitely, it means homesexality. Sometimes in case of problems two men in one bed is rarely possible.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Musa, Yosef and Yesu Mjudea wote hawakutoka misri..kule walikuwa ukimbizini
Musa hakuwa mkimbizi pale. Jina lake ni la kimisri, alizaliwa Misri, katika ukoo waliowahi kuishi kule karne .

Ukijisomea kidogo tu katika historia na ukosoaji wa dini, utawakuta wale wanaosema eti Musa aliendeleza kwa namna fulani ujumbe wa Farao Ekhnaton.... (yaani imani ya mungu mmoja)
 
Umenielewa vibaya mkuu...sijamaansha haya maneno ni ktk maandko laaa...namemwambia huyo jamaa arejee Kwenye vtabu vitukufu ili aondoe shaka juu ya Muumba wake

Kuhusu huo msemo namaanisha,Mungu si binadamu au papa si Mungu

Sasa kwa nini mnaenda kufuta dhambi kwa papa inamaana yeye si Mungu wa pili au[emoji23] akitoka Mungu Yesu si papa anafuata
 
Majina sio lazima yahusiane na kabila(race) mkuu..kuna Wayahudi kibao wanaishi Iran, Syria, Urusi ya kisovieti, marekani na wana majina yanayoshabihiana na hayo maeneo wanayoishi si ajabu musa kuwa na jina la kimisri.. Kipindi kile wahamiaji(ama wakimbizi ama mateka) ilikuwa si rahisi sana kuchanganyika na wenyeji(kuzaliana) kama ilivyo leo kwa hiyo walikuwa wanajulikana tu hawa ni watumwa Wayahudi hata kama wamekaa hiyo nchi miaka sabini na ndo maana musa alichagua kurudi na “ndugu” zake kaanani badala ya kubaki Misri alikozaliwa na kukulia.. Hali za sasa ni tofauti warundi ama wakongo wakikimbilia Kigoma baada ya miaka sabini hakuna tena mkimbizi utawakuta sinza wamevaa kipapaa na ni wabongo kamili…
 
Aisee Dunia imeisha heri mara mia ya waislamu

Wakristo sijui tumerogwa na Nani?
 
USIMUANGALIE MWANADAMU UTAPOTEA WEWE MTAZAME YESU ANATAKA NINI, KUMBUKA BIBLIA INASEMA MTAWATAMBUA KWA MATENDO
 
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.

source: MailOnline
Ninachokumbuka ni kwamba, Ukatoliki ndio dini ya Magufuli na Makonda kama sikosei...sasa sijui kama watamwita huyu papa beberu la Chadema!
 
Kwamba Mashoga ni wana wa Mungu.
Mungu huyu aloumba Me na Ke??

Maandiko yako wazi, kwamba siku za mwisho dini za uongo zitajionyesha waziwazi, kwa matunda yao mtawatambua. Jiulize, tunda la kukubali ushoga ni tunda la roho kutoka dini ya kweli? Tatizo ni kwamba mna macho na masikio lakini hamtaki kuona wala kusikia, hadi siku ya mwisho iwafikie na kuwaangamiza!
 
Sasa kwa nini mnaenda kufuta dhambi kwa papa inamaana yeye si Mungu wa pili au[emoji23] akitoka Mungu Yesu si papa anafuata
I'm pure muslim....hatufanyagi huo ujinga
 
Kwanza kuna mambo mengi yalishanichanganya ndani ya hili kanisa langu,ambayo naona hayapatani na Biblia kwa ujumla wake. Sasa hili ndo funga kazi kwa utata wote, niko mbioni kuachana na hili dhehebu langu.

Inasikitisha sana ila basi tu.


Yapi hayo ambayo hayaendani na biblia ambayo wanayo?
 


ni dhambi kama dhambi nyingine. Ila hamjamwelewe Papa, hajaruhusu ndoa hizi katika kanisa katoliki, amesema waheshimiwe ni binadamu kama sisi wazinzi, wauaji, waongo, wezi, madikteta nk....ni watoto wa Mungu hata kamam ji wadhambi, akasema wana haki ya kuwa na familia pia. Kwangu mi namwona Papa yuko swa sana....tumwachie Mungu atahukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…