Huyu Papa Msofe nilikuwa namsikia sana na kumjua kama mfanyabiashara maarufu sana. Leo Nimeona kwenye gazeti la The African eti Papa Msofe ambaye jina lake kamili wanasema ni MARIJANI MSOFE ni tapeli ambaye anatumia Polisi kunyanganya Ardhi!! Nani anayejua kuhusu huyu jamaa atupe ukweli. Nimeweka hili gazeti kwa ambaye hajaliona.
View attachment 28898 View attachment 28899
Huyu bwana pamoja na khamis hussein na isaac kassanga ndio wanaoendesha easy finance, wala usijaribu kwenda kukopa pale, utakwisha. Anajulikana sana mjini kama tapeli aliekubuhu,
HAPO KWENYE RED HAPO, HA HA HA
Achane Majungu.......kwani ukijua kama alikuwa tapeli au alikuwa mwezi itakusaidia nini? Acheni mtima nyongo...nyie sio police wala nini.............majungu tu.........hapa kwenye huu mtandao anatakiwa great thinkers weeee toka kafanye kazi nyingineHuyu Papa Msofe nilikuwa namsikia sana na kumjua kama mfanyabiashara maarufu sana. Leo Nimeona kwenye gazeti la The African eti Papa Msofe ambaye jina lake kamili wanasema ni MARIJANI MSOFE ni tapeli ambaye anatumia Polisi kunyanganya Ardhi!! Nani anayejua kuhusu huyu jamaa atupe ukweli. Nimeweka hili gazeti kwa ambaye hajaliona.
View attachment 28898 View attachment 28899
Achane Majungu.......kwani ukijua kama alikuwa tapeli au alikuwa mwezi itakusaidia nini? Acheni mtima nyongo...nyie sio police wala nini.............majungu tu.........hapa kwenye huu mtandao anatakiwa great thinkers weeee toka kafanye kazi nyingine
Huyu Papa Msofe nilikuwa namsikia sana na kumjua kama mfanyabiashara maarufu sana. Leo Nimeona kwenye gazeti la The African eti Papa Msofe ambaye jina lake kamili wanasema ni MARIJANI MSOFE ni tapeli ambaye anatumia Polisi kunyanganya Ardhi!! Nani anayejua kuhusu huyu jamaa atupe ukweli. Nimeweka hili gazeti kwa ambaye hajaliona.
View attachment 28898 View attachment 28899
Hii nimeipenda! Thanx mkuu.
Kama msofe ni wewe siku zako zinahesabiwa.
Si Msofe unasema Nteze wa nteze wewenachofaham_jamaa anafanya biashara ya kokoto, mchanga na kifusi pale kunduch na ameanza kama dalali lakn alipata kubwa akanunua lori na kwa kwel ni mchapakaz_sasa kafungua ofis na kaongeza malori, anapenda sana misifa hasa kupaishwa kwny muziki. Ni opportunist wa maana
<font color="blue">Mie simfahamu lakini nimesikia story zake long time sasa. Ni mshirika mzuri sana wa mapolisi na vigogo wa serikali hii. Commission at work.</font>
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa