Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?

Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?

Tukubali tukatae kipindi cha mkwere watu walikula nchi.na walikuwa wanajua hawaguswi polisi ipo mikononi mwao. Sasa hivi hali imekuwa tofauti
 
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa
hahahaha wako wapi nowadays?
 
Huyu jamaa alikuwa na kesi ya mauaji, kesi hiyo iliishaje!?
 
Hao jamaa ni matapeli tu, ila serikali inajua nini kunaendelea, kwani muzamili wanamlinda sana, tena wakati wakitapeli wanakuwepo maofisa wa ikulu,Wizara ya mambo yandani ya nchi, TRA, na watu wa clearing and forwarding. Chakushangaza hivi raisi Kikwete na wewe unanunuliwa kama mkuu wa kituo cha police oystabey? Kawe?, tegeta?
Wachina na wazungu wanatapeliwa kila siku. Rais wa nchi hii upo wapi? Juzi nilikuwa japan kila mtu nilejaribu kuongea nae alikuwa na wasiwasi na Tanzania hasa biashara ya Madini, .kurugenzi wa usalama wa taifa sikuhizi makaliyenu yakowapi Msofe na Muzamil wanawashinda nini? Lawrence masha alininuliwa wakati alipokuwa Waziri wa mambo ya ndani je Nahodha nae kanunuliwa? Au hizo pesa wanzochangia chama ndio zinazo waziba midomo.

NCCR mageuzi, Mtikila wote wanasaidiwa na muzamil fedha, Mtikila alisaidiwa fedha za kesi, NCCR mageuzi walipewa milioni miamoja hamsini kwenye uchaguzi uliopita. Je chadema mtalinyamazia hili?

Nakumbuka reaisi aliahidi kumaliza ujambazi na utapeli ambao unaweza kudidimiza uchumi wa nchi.

Kamanda kova alipokuja Dar alidhibiti lakini mara baada ya kupenyezewa bahasha alinyamaza kimya.

Je msajili wa makampuni nchini anahuzika? Maana hawa jamaa wanafungua makampuni na kisha wanayafunga baada ya kutapeli copper cathode face.

Je wanajamii tutanyamaza?
Je serikali ya Tanzania itanyamaza?
Je malaka za usalama zitanyamaza mpaka FBI waje kutusaidia Kazi?
Hii ndio iliyokua serikali iliyoongozwa na JK (2005-2015)
 
Nawapa true story jinsi walivyo mliza rafiki yangu wa karibu toka arabuni. Rafiki alikuja nchini na akataka kununua dhahabu. Akaenda kwa sonara pale k'koo, sonara akampa contact za hussein na Msofe. Akawapigia simu wakamuomba aonane nao kndoni- vijana(mimi hakunishirikisha). Akiwa vijana nilimpigia simu nikashangazwa na yeye kuwa eneo lile kwa ni simuendaji wa baa na hapendi kwenda sehemu zenye kelele. Punde nika mfuata nika kuta anagana na Msofe + rafiki yake. Kumbe walikuwa wamemaliza mazungumzo ya biashara na walikuwa wamekubaliana kuwa watamuuzia dhahabu kilo 20. Alikaribishwa ofisini kwao na kuoneshwa dhahabu yenyewe na akashuriwa achukue kidogo akahakiki kwa sonara, alifanyahivyo. Baada ya kuhakiki alilipa na wao walikubali kulipa mrahaba wa mamlaka ya madini(30%). Sanduku lifungwa kwa kufuri aliyonunua huyo mnunuzi na kuwekewa seal ya stamico. Wauzaji walimshauri aliache sanduku aje alichukue wakati wa kwenda aeroport- alikubali. Siku ya safari alikuja kuchukua sanduku lake, alipofika walimuomba ajiridhishe kuwa sanduku lake ni lenyewe- alihakiki: MCHEZO ULIPOFANYIKA: wakati anataka kutoka husein alimuanzishia story juu ya future cooperation na wakati huo akaita walinzi wabebe sanduku(sanduku likabadilishwa). Mteja (1afiki yangu) akaondoka. Alipofika arabuni alikuta kwenye sanduku kuna vipande vya nondo. Aliwapigia simu kuuliza kulikono- wakawa wakali kuwa wao ni watu safi wanaoheshimika na washika dini kwa hiyo hawawezi kufanya mchezo huo.
Duuuh
 
Nawapa true story jinsi walivyo mliza rafiki yangu wa karibu toka arabuni. Rafiki alikuja nchini na akataka kununua dhahabu. Akaenda kwa sonara pale k'koo, sonara akampa contact za hussein na Msofe. Akawapigia simu wakamuomba aonane nao kndoni- vijana(mimi hakunishirikisha). Akiwa vijana nilimpigia simu nikashangazwa na yeye kuwa eneo lile kwa ni simuendaji wa baa na hapendi kwenda sehemu zenye kelele. Punde nika mfuata nika kuta anagana na Msofe + rafiki yake. Kumbe walikuwa wamemaliza mazungumzo ya biashara na walikuwa wamekubaliana kuwa watamuuzia dhahabu kilo 20. Alikaribishwa ofisini kwao na kuoneshwa dhahabu yenyewe na akashuriwa achukue kidogo akahakiki kwa sonara, alifanyahivyo. Baada ya kuhakiki alilipa na wao walikubali kulipa mrahaba wa mamlaka ya madini(30%). Sanduku lifungwa kwa kufuri aliyonunua huyo mnunuzi na kuwekewa seal ya stamico. Wauzaji walimshauri aliache sanduku aje alichukue wakati wa kwenda aeroport- alikubali. Siku ya safari alikuja kuchukua sanduku lake, alipofika walimuomba ajiridhishe kuwa sanduku lake ni lenyewe- alihakiki: MCHEZO ULIPOFANYIKA: wakati anataka kutoka husein alimuanzishia story juu ya future cooperation na wakati huo akaita walinzi wabebe sanduku(sanduku likabadilishwa). Mteja (1afiki yangu) akaondoka. Alipofika arabuni alikuta kwenye sanduku kuna vipande vya nondo. Aliwapigia simu kuuliza kulikono- wakawa wakali kuwa wao ni watu safi wanaoheshimika na washika dini kwa hiyo hawawezi kufanya mchezo huo.
Aiseeee[emoji848][emoji87]
 
Back
Top Bottom