Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?

Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?

Msofe bado ana investments nyingi sana, network yake around the globe(I mean business associates) wapo na huwa hawatupani.
Ni full-time hustler na mtaji wake namba moja ni kichwa hivyo usitegemee kumuona level za mavumbini, ukiona mtu anatengeza michongo na kupiga pesa ndefu lakini inashindikana kupata ushahidi solid wa kumfunga ujue hicho ni kichwa.
Kesi ya kubumba waliyompachika wameshindwa kumfunga.
Agreed.. utapeli ni akili
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kumbe wadangaji/malaya nao wanakutanaga na mambo mazito kiasi hicho?!

Yani nimecheka kwa sauti kubwaaaa [emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo kutaka kwake dau kubwa kaishia kuliwa bure [emoji38][emoji38]

Kumbe wadangaji wanakutana na mengi?! [emoji14][emoji14]
Usiamini kila stori humu
 
Kweli hata wale wasomali mzamil anaowakaribisha Mbezi ni viongozi huko kwai Somalia, je wasomali hao pesa zao zinatoka wapi.

Hivi usalama wa taifa mmelala? Mnasubiri nini mnataka ripoti gani. Nini chanzo cha wasomali hawa mbezi mbona wanauziwa viwanja vyetu na mzamili?!!! Kikwete huu urais wako ulisema hauna shea na mtu tena ukapambana na majambazi wa silaha na magari wakiwemo wakina alex masawe wa AM hotel, hilo uliweza je matapeli hawa wanakushinda nini? Au na wewe umenunuliwa?? Maana kama kumeanza uhusiano wa kuhisiwa kati ya mzamil na all shabab wataka cia waje kukulindia nchi??

Wengine humu kwenye forum ni vijana wako wa kitengo hatuna nafasi ya kukufikishia taarifa kwa ajili ya kiapo chetu, ila baadhi ya wakubwa wa kitengo ndio wanao saidiana nao na kujilimbikizia mali. Mimi nilisha pambana na mzamil sana mbezi police wote wakubwa wanalijua hili. Tena mpaka sasa malori ya fake cooper yapo mbezi na malori yame jaa. Rais wetu toa kauli haya ni magaidi wa baadaye.
Aisee awamu hiyo kulikua na mambo haswa.
 
Sio kwamba nguvu zimeisha, ila wameshtukiwa - hawapata wateja tena. Msofe ana biashara ya Travel Agency inaitwa Aucland Tours na Muzamil ana tours inaitwa Muzasha. Ally mwarabu (alikuwa na marehemu Mwakamele wa Airport night park) anaendesha kampuni ya Aurola security.

Ila kila dhuruma ina malipo yake, yule kijana na mama yake (wa Israel na walikuwa wageni wa mamna Anna) walimwita Muzamil wakutane China waongee biashara ya dhahabu, jamaa akalipiwa kabisa tiket. Alipofika huko akaitwa sehemu wafanye maongezi ba huko ndo alikutana na huyo kijana. Kulikuwa na mabaunsa waliomshika na kumpiga sindano iliyofanya zakari isinyae hapo hapo. Atakuwa anachuchumaa kama mwanamke akitaka kukojoa sasa.

Msofe labda mchawi yeye hajakutwa na dhahama. Ana mkono kwenye vifo vya wale vijana wa kilombero kwani ndiye aliwalengesha kwa Zombe.
Sema kweli??
 
Tapeli ,lililokubuhu lililonyea Debe gerezani miaka kadhaa. Hivi Yuko wapi tapeli huyu na Yule Alex Massawe?
 
Kama hujui mambo ya town yaache kama yalivyo, Msofe ni hustler yeah lakini kwenye sembe hayupo na wala hajawahi kuwepo.
Ukisikia alivuta Wazungu au Wachina akawaingiza chaka akavuna milioni kadhaa za dollars labda ila si kwenye sembe.
Nipo mjini tangu 1955 my frnd.
 
Pia hawa ma pedeshee huchukua binti yeyote aliye kwenye mashindano ya umiss. LUNDENGA hupewa pesa ndefu kumpa ruhusa binti kupata dinner na pedeshee!pia hili kundi hutumiwa na vigogo serikalini kuwatafutia wanawake kuwapeleka mpaka hotel,kigogo kazi yake hua kukojoa na kuondoka.pia cheque za ufisadi hupitia ktk akaunti zao.mfano kimambi muuza unga alipofariki tibaigana alilia sana!
Mkuu, ina maana babaake Mange alikua zungu? Au Kimambi mwingine?
 
Nipo mjini tangu 1955 my frnd.
Kuna kuwa town upo upo tu hata kama ulipata ufahamu kibao cha welcome to Mzizima kikiwa Faya na kuna kuwa town ukiwa katikati ya connections yaani 'issues' zote za town zilipo upo.
 
Kuna kuwa town upo upo tu hata kama ulipata ufahamu kibao cha welcome to Mzizima kikiwa Faya na kuna kuwa town ukiwa katikati ya connections yaani 'issues' zote za town zilipo upo.
Waulize wanaonifahamu.. vizuri
 
Back
Top Bottom