Papa Sylvester alisoma madrasa. Alifuzu somo la hesabati

Papa Sylvester alisoma madrasa. Alifuzu somo la hesabati

Vipi na kuhusu Tourat, Injil na Zaburi nazo zilikuwa katika lugha ya Kiislamu (Kiaarabu) kwanza ndo baadaye vikatafsiriwa kwenda Kiebrania, Kigiriki na Kilatini??? kwamba enzi za Musa na zama za Yesu uislamu ulishakuwa na vyuo vyake???
Ni sahihi kabisa.Hayo maandishi yalikuwepo na hakuna aliyeyafahamu isipokuwa waislamu mwanzo kabisa pale Baghdad na baadae wakavitafsiri kwa lugha ya kiarabu na kutunza kila walichokiona cha asili.
Hulagu ambaye ni mkristo aliyetokea jamii ya kihindi na alikuja kuchoma moto hazina kubwa ya maandishi ya kale na waislamu wachache ndio walioviokoa vilivyobaki na kuviokota vilivyotupwa mtoni na ndivyo ambavyo vingi vimetufikia sisi baada ya kutafsiriwa.
Kwa ufupi katika historia ya elimu duniani hakuna kichochoro cha kukwepa wema wa uislamu katika kuiritihisha dunia kilicho bora.
 
Ni sahihi kabisa.Hayo maandishi yalikuwepo na hakuna aliyeyafahamu isipokuwa waislamu mwanzo kabisa pale Baghdad na baadae wakavitafsiri kwa lugha ya kiarabu na kutunza kila walichokiona cha asili.
Hulagu ambaye ni mkristo aliyetokea jamii ya kihindi na alikuja kuchoma moto hazina kubwa ya maandishi ya kale na waislamu wachache ndio walioviokoa vilivyobaki na kuviokota vilivyotupwa mtoni na ndivyo ambavyo vingi vimetufikia sisi baada ya kutafsiriwa.
Kwa ufupi katika historia ya elimu duniani hakuna kichochoro cha kukwepa wema wa uislamu katika kuiritihisha dunia kilicho bora.
Hizi ngano mnazohadithiana misikitini na kufundisha watoto wenu kwenye madrasa ndo zinafanya muendelee kuwa nyuma kielimu.
 
😂😂😂😂 Sijui anadhani anaandikia watu gani huyu hahaha
Huyo ni yule ambaye amedanganyika na uislamu kupindukia kiasi kwamba hafikiri kichwani mwake na ndo maana inakuwa rahisi kumuaminisha kuwa akaue watu kwa kujitoa mhanga kwa ahadi ya mabikira 72 na mito ya pombe. Yaani mtu kama huyu ukimwambia alshabab wanakuhitaj ukampiganie allah fasta anaenda huyu.
 
Hizi ngano mnazohadithiana misikitini na kufundisha watoto wenu kwenye madrasa ndo zinafanya muendelee kuwa nyuma kielimu.
We kijana wacha dharau.Hizo sio ngano.Ni taarifa sahihi unazipata hata kwenye wikipedia kutoka kwa wataalamu wa historia wasio na chuki kama wewe.Watu wa madrasa na misikitini wengine wala hawajielewi historia zao.Kila siku wanamsifia mzungu tu.Mtu ambaye alisoma kwao.
Usiwe mvivu hebu tumia muda wako kujisomea.
 
Back
Top Bottom