Papa wa Kanisa Katoliki anakuwa Mtakatifu kwa misingi ipi?

Papa wa Kanisa Katoliki anakuwa Mtakatifu kwa misingi ipi?

Ni kufuatilia alifanya nini katika kusaidia watu hapa duniani hii ni baada ya kifo, jambo lingine maandiko yanasema watakatifu Bora ni wale walioko duniani maana yake watakatifu Bora ni wale walio hai duniani. Sasa ukichunguza utagundua wengi wa watakatifu wote wamesha tangulia mbele ya haki na ndio walio chaguliwa na binadamu na si Mungu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nawaza utakatifu anapewaje kiongozi kibinadamu tu?

Je, kuna ushahidi wa maandiko unaoonesha kuwa Papa anakuwa mtakatifu automatically?

Na Kama Roho mtakatifu anaongea na watu wake kipi wafundishe why wampangie cha kufundisha dunia nzima?
Ukitafita hela mawazo na fikra ulizonazo zitakukimbia tafuta hela itakusaidia tafuta hela utawaza ya msingi ,ukitafuta hela utagundua hakuna kanisa lenye sadaka nyingi,hakuna dagaa wa nyama,unapunguza dhambi
 
Back
Top Bottom