Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza ni maneno mazur mazur ambayo wakristo wanapenda kujitungia ambayo hayana uhalisia wowote kwa mtu mwenye akili timamu, hivi inawezekana vipi binadamu akawa na mamlaka ya kubariki binadamu mwenzake? inawezekanaje kiuhalisia mwenye uwozo wa kubariki na mtu kwel akabarikiwa ni mwenyezimungu tu hao wngine wote wababaishai wanaongopeana mtu anambariki mtu mwenzie baada ya kubarikiwa ndio Unakuta ndio anazid kulaanika. hakua ukubarikiwa na mwanadamu mwenzio mwenye madhambi kibao ni kutiana ujinga tuHaya mambo Papa aachane nayo, atakaye bariki abariki asiyetaka kubariki asibariki.
Naomba mtu anitafsirie alicho andika mivigaYani Katoliki bora wabariki mashoga kuliko Thadei aliepinga waraka wa TEC,
Kani mama la mitume[emoji108][emoji108]
Hapo hata mimi nashangaa, marafiki wa Mungu walikuwa na Wake wengi na Mungu hakuwakataza, marafiki wa papa ni mashoga na hawakatazi. Hili kanisa katoliki lina kiongozi mlaaniwa kabisa.Mtu akileta wake zake watatu kanisani wabarikiwe Papa atakubali?
Dunia ni ya shetani, hao mashoga hata ufaransa waziri mkuu ni shoga. Mbaya sana huko kwa wakatoliki nako kunaanza kupigiwa chapuo.Dunia imebadilika sana. Hivi sasa hata mashoga wanashika nyadhifa za juu sana katika uongozi ktk nchi na taasisi mbalimbali.
Usiwe mwongo , hujawahi kujiuliza kwann useja na sikuoaMimi ni mfuasi wa RC, lakini kwa hili sinto shangaa nikija kusikia kwamba huyu kasisi analiwa
Mtu mmoja anapotumika kuchafua taswira ya sehemu au watu fulani usihukumu watu wote bali chunguza huenda naye ni udhaifu wakeTunaposema catholic ni pango la shetani muwe mnaelewa
Hizi taasisi za dini ni taasisi za kipumbavu tu. Dini ni utumwa. Ni kifaa cha kudhibiti watu. Na wazungu wamezitumia vizuri dini kuwadhibiti Waafrika. Hii ajenda yao ya ushoga itapenya tu kwenye kanisa. Hata kama sio leo, basi miaka 100 ijayo mashoga watakuwa mpaka mapadri.
Na kile kiwaraka chao eti tutausoma kila jumapili kwa mwaka mzima!Mbona wazee wa roma ikisema siwaoni wakichangia huu uzi?
Et Roma locuta causa finita