Huwezi kusema Msofe na vijinga vyenzake vina hela,kwani utajiri wa mtu unapimwa kwa kuendesha gari zuri lakini ni la uwizi na lina utata kwenye kodi au kuwa na nyumba ambayo umedhulumu au umejenga kwenye kiwanja ulicho dhulumu? ua kutunza hela kwenye taarabu?,Huyo Msofe katika hivyo vijumba vyake mbona ha miliki nyumba Prime areas like MASAKI,ambapo angeishi na wanene like Bakhressa,Mkono,Said wa HomeShopping,Yeye anajibana Mikocheni mvua ikinyesha hakuna tofauti na Sinza.Nyie mna danganyika na Demo life,mnajiona mko inferior.Msofe alisha choka dili zilikataa mwishoni alikuwa ni dalali wa magari.Na yule Said Ntimizi yupo wapi naye?amepigika kama mpira wa makaratasi kajificha Mbweni kuja mjini ni ishu kama ilivyo kuwa kuweka maji kwenye pool yake.Need i say More?????????