Duuu unasema kwel mkuu?
kweli kabisa, harusi ilifanyika karimjee hall, reception ikafanyika serena hotel.
Mzee wa kaya ndani siku ya reception.
Atakuwa kasubiri sana..with no hope and she threw in the towel...!!
maybe. Maana hajachelewa.
Alivyoweka kizuizini tu, binti nae akapata wenye pesa wenzie.
Ilikuwa booongeee ya sherehe.
Yule binti mzuri jamani.
Duh
Pole yake....
kweli kabisa, harusi ilifanyika karimjee hall, reception ikafanyika serena hotel.
Mzee wa kaya ndani siku ya reception.
kweli kabisa, harusi ilifanyika karimjee hall, reception ikafanyika serena hotel.
Mzee wa kaya ndani siku ya reception.
Duuh! Kiwandinyo kampora demu chuma cha reli?
heee ndo yule mchumba ake
duuuh!!!
Mungu atamjaalia na yeye ataolewa hukohuko gerezani...
ndio huyo, anaitwa hadija sula.
Ukiingia insta ya glammadam ameweka picha zake nyingi.
Kuanzia ndoa hadi reception
Mungu atamjaalia na yeye ataolewa hukohuko gerezani...