mdada wa wapi huyuuu...?!!
kiwadinyo amependa kweli.
Send off kaigharamia hadi usafiri wa wanandugu kwenda mwanza na kuja kwenye ndoa.
Kiislam, sherehe ya ndoa ina gharamiwa na familia ya mke.
Ila hii, ndugu wa mke walipewa kadi tu waje kuhudhuria ndoa.
Kila kitu kiligharamiwa na jamaa.
Kulijaa mapedeshee wa ukweli
Picha za huyo demu jamani ziko wapi?! Maana mnasema mkareeee angalau wengine nasi tumuone
kanda ya ziwa.
Mama yake nadhani ni mjita na baba ni msukuma.
Wazazi wanaishi mwanza.
Alishiriki miss tanzania back then na alikuwa miss kanda ya ziwa namba moja ila sikumbuki mwaka gani
100% uko sawa kabisaAcheni kumsingizia Kikwete, issue ya Msofe ilishafunikwa mpaka mke wa marehemu alipoweza kumuona Pinda ndio akashika bango.Alex Masawe amekimbia nchi je naye alikuwa na kimada anatakiwa na Kikwete family?
mdada wa wapi huyuuu...?!!
kanda ya ziwa.
Mama yake nadhani ni mjita na baba ni msukuma.
Wazazi wanaishi mwanza.
Alishiriki miss tanzania back then na alikuwa miss kanda ya ziwa namba moja ila sikumbuki mwaka gani
~
~
Mbona Kama Halfcast? Au wazazi wao wote ni wajita/msukuma lakini ni 0.5?
Usukumani waarabu koko wengi sana kuanzia kayenze,kishapu,ngugumalwa,old shy mpka nzega
Hadi mwadui wamejaa waarabu wa kisukuma, matajiri wengi wa kiarabu ni wasukuma ie Nchambis,moh trans nk.
Pia sikonge,urambo n tabora mjini bila kusahau ngara n karagwe
Usukumani waarabu koko wengi sana kuanzia kayenze,kishapu,ngugumalwa,old shy mpka nzega
kuumwa lazima, maana mchumba wake watu walishaoa.
Nadhani hata honeymoon hawajamaliza.
Nimesha connect dots ya hii ishu..
Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..
yupo km mmanga aisee
kwa uzuri huu bora tu kaolewa maana angeendelea kumsubili jamaa ingekuwa miss use ya resources.
Umri huu awe kwenye uchumba?
hhahahahahahahah, mbona le mutuz nae yuko na mchumba hadi leo.
Ni mambo ya mjini u kno
kiwadinyo amependa kweli.
Send off kaigharamia hadi usafiri wa wanandugu kwenda mwanza na kuja kwenye ndoa.
Kiislam, sherehe ya ndoa ina gharamiwa na familia ya mke.
Ila hii, ndugu wa mke walipewa kadi tu waje kuhudhuria ndoa.
Kila kitu kiligharamiwa na jamaa.
Kulijaa mapedeshee wa ukweli
umeona mkuu.
Binti ni mzuri huyo.
Kuna siku alipita ubungo kukata tiketi, kuna jamaa akasema 'mie nikiwa na mwanamke kama yule sifanyi kazi yeyote zaid ya ujambazi, maana kazi hiyo ndio itanipa pesa ya kumuhudumia.'
nilicheka sana kwa kweli hiyo siku
Hahahaha yaani ukigusa pamnyanga yake atakusaka popote mpaka akuweke panapostahili bora halo kaugonjwa sijui korodani sijui nini katapu nguza kasiπ±π±π±π‘