Papaa MSOFE ashindwa kufika mahakamani

mdada wa wapi huyuuu...?!!

kanda ya ziwa.
Mama yake nadhani ni mjita na baba ni msukuma.
Wazazi wanaishi mwanza.
Alishiriki miss tanzania back then na alikuwa miss kanda ya ziwa namba moja ila sikumbuki mwaka gani
 

kwa uzuri huu bora tu kaolewa maana angeendelea kumsubili jamaa ingekuwa miss use ya resources.
 
kanda ya ziwa.
Mama yake nadhani ni mjita na baba ni msukuma.
Wazazi wanaishi mwanza.
Alishiriki miss tanzania back then na alikuwa miss kanda ya ziwa namba moja ila sikumbuki mwaka gani

yupo km mmanga aisee
 
Acheni kumsingizia Kikwete, issue ya Msofe ilishafunikwa mpaka mke wa marehemu alipoweza kumuona Pinda ndio akashika bango.Alex Masawe amekimbia nchi je naye alikuwa na kimada anatakiwa na Kikwete family?
100% uko sawa kabisa
 
Usukumani waarabu koko wengi sana kuanzia kayenze,kishapu,ngugumalwa,old shy mpka nzega

Hadi mwadui wamejaa waarabu wa kisukuma, matajiri wengi wa kiarabu ni wasukuma ie Nchambis,moh trans nk.
 
Nimesha connect dots ya hii ishu..

Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..

Hahahaha yaani ukigusa pamnyanga yake atakusaka popote mpaka akuweke panapostahili bora hako kaugonjwa sijui korodani sijui nini katapunguza kasi😱😱😱😑
 
kwa uzuri huu bora tu kaolewa maana angeendelea kumsubili jamaa ingekuwa miss use ya resources.

umeona mkuu.
Binti ni mzuri huyo.
Kuna siku alipita ubungo kukata tiketi, kuna jamaa akasema 'mie nikiwa na mwanamke kama yule sifanyi kazi yeyote zaid ya ujambazi, maana kazi hiyo ndio itanipa pesa ya kumuhudumia.'
nilicheka sana kwa kweli hiyo siku
 

Sasa taratibu naanza kuelewa kwa nini Marekani hawataki Rais kutoka familia fukara wenzetu wameona mbali sana.
 
umeona mkuu.
Binti ni mzuri huyo.
Kuna siku alipita ubungo kukata tiketi, kuna jamaa akasema 'mie nikiwa na mwanamke kama yule sifanyi kazi yeyote zaid ya ujambazi, maana kazi hiyo ndio itanipa pesa ya kumuhudumia.'
nilicheka sana kwa kweli hiyo siku

hahahahahaaaaaaa hyo kali mkuu!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…