Pape Ousmane Sakho na Sadio Kanoute' Haya ndiyo mambo tulikuwa tunataka Simba SC

Mkuu Kichwa Kichafu Endelea kupata mateso.

Simba SC Ndo Mabingwa wa Nchi
Wawakilishi pekee kwenye mashindano ya kimataifa kwenye ukanda wote wa CECAFA. Nchi 8 zinawakilishwa na mnyama mmoja mkali sana. Dada zetu wa ukanda wa Jangwani na majirani zao (wenye derby yao) Wazee wa biskuti, wataiwakisha Tanganyika kwenye mashindano ya uhuru wa visiwa vya Zanzibar...

Tunawatakia kila la kheri watuletee kombe nyumbani. Nimeambiwa kombe litakabidhiwa kwa mkuu wa wilaya ya Temeke kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Dar...
 
Nakupa changamoto 1,, kama hutojali jaribu kufuatilia hata mechi za nyuma utagundua nnachokisema, kwa role aliyonayo anapaswa kulifanyia kazi sana hiyo changamoto. Lakini naona anazidi kuimarika na ni mchezaji mzuri
 
Ni swala la muda tu ila Sakho ni Sadio mane mtupu
Hii kauli sio wa kwanza kusema...kuwa makini usitoe siri wasije wakamuumiza tena maana huyu mtoto ni chafya lazima ufumbe macho uipigapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umeandika facts tup mkuu,

Simba, nguvu moja [emoji123]
 
Sakho mbona n mda tu alijitofautisha kuwa yeye n mchezaj wa namna gan toka wakiwa Morocco kule alikuwa anafunga sana
 
Limleta mada lina matatizo ya usimba sana
Hao wachezaji bora hata mkandala wa dodoma jiji, hata mbeya kwanza hawapati namba
 
Ule msuti wa Sakho jana dhidi ya Azam FC uliogonga mwamba, yaani golikipa angeruka juu zaidi kisha akapangua lazima angekata network kama suti la Kanoute dhidi golikipa wa Timu ya bonde la Jangwa
Azam bwana timu ya kindugu ukiwa mZnz bari afu ostadh unapata namba...imekosa watu wa mpirampira angalia magolikipa wao hasa yule namba 2.
 
Sakho toka mwanzo alionyesha ni mchezaji mzuri lakini hapo katikati alipotea kabisa. Nafikiri majeraha aliyoyapata mwanzoni mwa ligi na kuzoea mazingira ndio vilimpa shida.

Ila ile spidi ya Sakho tena akiwa na mpira mguuni hii itakuwa ni shida nyingine kwenye ligi ya Tanzania. Kwa jinsi ninavyowajua mabeki wa timu za kitanzania (Yondani, Nyosso, n.k.) itabidi viongozi wa Simba wawe wanalalamika mapema kabla mpira haujaanza ili marefa wawe ättention" vinginevyo kila wakati Sakho atakuwa majeruhi.
 
Limleta mada lina matatizo ya usimba sana
Hao wachezaji bora hata mkandala wa dodoma jiji, hata mbeya kwanza hawapati namba
We umelewa vyura wa pale Jangwani ndo maana ukaandika huu upoyoyo.

Pape Ousmane Sakho is a talented player.

Pape Ousmane Sakho is very skillful and fact. His play is much similar to Sadio Mane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…