wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Tunatakuwa tupate sharp striker pale kati...wapinzani wasipumue kabisa.Kushoto una sakho kulia ina morison namba 10 una ********! Boks to boks una kanoute.... kazi ipo.....
Huyu kanoute ni miquisson mwingine...
Wawakilishi pekee kwenye mashindano ya kimataifa kwenye ukanda wote wa CECAFA. Nchi 8 zinawakilishwa na mnyama mmoja mkali sana. Dada zetu wa ukanda wa Jangwani na majirani zao (wenye derby yao) Wazee wa biskuti, wataiwakisha Tanganyika kwenye mashindano ya uhuru wa visiwa vya Zanzibar...
Nakupa changamoto 1,, kama hutojali jaribu kufuatilia hata mechi za nyuma utagundua nnachokisema, kwa role aliyonayo anapaswa kulifanyia kazi sana hiyo changamoto. Lakini naona anazidi kuimarika na ni mchezaji mzuriKwenye kupiga long pass kuna mambo mawili, inaweza kuwa mpokeaji ni wapi pa kupokelea hizo ndefu au mpigaji anapigaje..!
Kwa game ya Azam FC jana Kanoute amepiga long pass ambazo baadhi zilifika kwa Kapombe na zingine zilipotea
Ni wakati Kocha kulifanyia kazi
Ameanza kuimprove kitu ambacho ni kizuri kwake na kwa timuHapana jna nilimhesabia nipasi ndefu 3 tuu ndizo alizopoteza
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hii kauli sio wa kwanza kusema...kuwa makini usitoe siri wasije wakamuumiza tena maana huyu mtoto ni chafya lazima ufumbe macho uipigapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni swala la muda tu ila Sakho ni Sadio mane mtupu
Umeandika facts tup mkuu,WanaSimba tunaendelea kutembea mwendo wa Ngiri meno nje kuhusu hawa Vijana, Pape Ousmane Sakho na Sadio Kanoute, kwa kadri wanavyozidi kuimarika na kuwa hatari sana Uwanjani, hongera sana Viongozi, Wanachama na Mashabiki wa Simba SC, haya ndo mambo tulikuwa tunasubiri, kwa WanaSimba
Pape Ousmane Sakho huyu kwa sasa ndo kiumbe mmoja hatari sana mwenye kuwang'oa wapinzani meno bila kutumia ganzi.
Kama namuona Luis Miquissone hivi kwa mbali, kwa uwezo wake wa kuondoka na Kijiji huku akiteleza mithiri ya samaki kambale pamoja na ubunifu wake na unyumbulifu uliothibitishwa na Shirikisho la soka Afrika CAF.
Kwa sasa huyu kiumbe ni kero namba moja Tanzania, ukiachilia mbali Bernard Morrison wakili msomi mwenye uwezo wa kushinda kesi bila kusimama mahakamani.
Sadio Kanoute huyu ni kiumbe boksi to boksi, kiungo matata sana, mtaalamu mwenye kutembea dimba la kati kwa namna anavyotaka.
Huyu mtu sana, achilia mbali game dhidi ya Azam FC, alichofanya game dhidi ya Majirani Kutoka bonde la Jangwa kila mtu anajua, baada ya jina la Dokta kuzimika baada ya game, kama dawa iliyoisha muda wake.
Sakho na Kanoute haya ndo mambo ambayo tunataka Simba SC, hakika Azam FC wamekutana na dawa ya kuua Wadudu Wanaoruka na Kutamaa na hakika ukichagua Simba SC umechagua furaha Mutawalia, Simba SC Klabu Quality yenye kusakata kabumbu la Viwango vya CAF, Mabingwa wa Nchi, Klabu Kubwa na Bora Afrika.
Peter Banda tunasubiri uje kujibu mapigo haya ya Pape Ousmane Sakho na Sadio Kanoute pomoja na kipaji chako cha kusakata kabumbu, bado nafasi unayo na umri unaruhusu pia.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.
Azam bwana timu ya kindugu ukiwa mZnz bari afu ostadh unapata namba...imekosa watu wa mpirampira angalia magolikipa wao hasa yule namba 2.Ule msuti wa Sakho jana dhidi ya Azam FC uliogonga mwamba, yaani golikipa angeruka juu zaidi kisha akapangua lazima angekata network kama suti la Kanoute dhidi golikipa wa Timu ya bonde la Jangwa
We jamaa umefanya siku yangu ile murua Sana.Hivi mnauhakika ile pass niya kibu kweli sio kdb yule?
Hoi bi dhoofuu
We umelewa vyura wa pale Jangwani ndo maana ukaandika huu upoyoyo.Limleta mada lina matatizo ya usimba sana
Hao wachezaji bora hata mkandala wa dodoma jiji, hata mbeya kwanza hawapati namba
Shikamoo ,chizi fresh...!Iyo league au Bonanza?
Mpira wa senegal bora zanzibar