Pape Sakho aitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal

Sasa hilo li Edo limeshaacha kazi?
Thubutu yake, bado anaweweseka, sasa hivi anasema ukaribu wa Kocha Cisse na Agency wa Sakho ndo sababu ya kuitwa National Team.
 
Wewe ndio tahaira kabisa ebu nitajie wachezaji walioitwa timu ya taifa Mali, Wachezaji walioitwa kutoka afrika ni wangapi kabla ujaweka uharo wako hapa, Alafu ukimaliza utuambie senegal iko nafasi ya ngapi kwenye fifa ranking na Mali iko nafasi ya ngapi kwa sasa, Ujuaji mwingi but nonsense!
 
Angalia huyu Mwehu, si umeulizwa hapo juu kuwa Senegal na Mali viwango vya Ubora Afrika sawa? Mbona hukujibu..?!
 
Hayo mataifa yote hata yakiungana haifikii Senegal.
Poleee kwa kutesekaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemjibuu vizuri kabisaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…