Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Jamaa walikuja kwa kasi sana walivyotoka jela,this time siwaskii tena licha ya ile ngoma yao "Waambie" kuwa nzuri mnoo iliyoshiba meseji ya Matumaini kuonyesha ujio wao mpya nje ya maisha ya jela.
Nini kimewakuta hawa watabe wa burudani? hii kimya yao sio bure inatia shaka kidogo...
Nini kimewakuta hawa watabe wa burudani? hii kimya yao sio bure inatia shaka kidogo...