Papuchi, Kugegeda, Dushelele. Je watunzi wa lugha ya kiswahi wanayatambua haya maneno?

Papuchi, Kugegeda, Dushelele. Je watunzi wa lugha ya kiswahi wanayatambua haya maneno?

God bell

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2011
Posts
590
Reaction score
210
Habari za jioni wana JF. Leo nilikuwa na jamaa yangu mahali tunapiga story za hapa na pale (ni mtu ambaye ni msomi mzuri tu) ghafla dushelele langu likaanza kuwasha, nikajikuta nikimwambia huyo jamaa yangu 'mbona najisikia dushelele langu linawasha kuna tatizo gani?akaniuliza dushelele ndo nini?nikamuliza hujui akasema hapana....na papuchi...akaniambia hajui pia....nikasema eh!na Kigegedio ndo kabisaaa akaona naongea lugha asiyoijua. Basi nikamweleza tu maana ya haya maneno ila nikamwambia yanazungumzwa na vijana mtaani. Nikatambua kumbe kwa mtu ambaye haijui JF anakosa mambo mengi sana. Pia jana niliona neno geni kwangu kwenye uzi flani hapa kwenye hili jukwaa linaitwa Mpwehele,nikawa najichekea mwenyewe tu.... Ndo nauliza hawa watunzi wa hii lugha ya kiswahili wanayajua haya maneno?....... COPY KWA WANAJF WOTE!!!

Wana mmu poleni na mihangaiko ya hapa na pale napenda kujua hivi haya maneno papuchi,gegedo,kugegeda nani aliyaanzisha humu cc lara 1,mamndenyi,preta
 
Maneno ya humu JF mbona kila siku yanabadilika?
Humu kuna watu wa Mataifa na makabila mengi licha ya Dini
Sasa ungeeingia Web za Rahatupu.blogspot, UDAKU, nk hukuti hiyo Mpwehele ya Kihehe huko utakimbia zaidi ya speed yako ya sasa
 
yanafahamika kupitia kitu kinaitwa tafsida mkuu..
 
Dushelele ,papuchi....mbona yanafahamika.kuna hili APEPE nilikutananalo hapa Jf.kichwa kikaanza kuwanga.
 
Wana mmu poleni na mihangaiko ya hapa na pale napenda kujua hivi haya maneno papuchi,gegedo,kugegeda nani aliyaanzisha humu cc lara 1,mamndenyi,preta
 
i first heard gegedo/kugegeda from mzabzab. sikumbuki kuhusu papuchi but i think it was him too
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mtzmweusi hivi una umri gani inaonyesha kana kwamba
unatamka maneno makubwa kuliko umri wako;[
kama vipi weka ile kitu ya rita hapa.

QUOTE=mtzmweusi;7234057]Wana mmu poleni na mihangaiko ya hapa na pale napenda kujua hivi haya maneno papuchi,gegedo,kugegeda nani aliyaanzisha humu cc lara 1,mamndenyi,preta[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mnaitwa ni wa mtandaoni;
uso kwa uso mnaingia chaka, loooh[
hivi ni nani aliyewaloga nyi akina faza.

QUOTE=Asprin;7236061]Afu wewe unajua una kesi ya kujibu?[/QUOTE]
 
Muulize mume wako
kwani nayeye ni kijana?[
QUOTE=Lady doctor;7236115]kwani wazee mnaitaje?[/QUOTE]
 
leo ni date ngapi kwani?
wengine tulikwisha kusahau hata shilingi inafafana na nini [
QUOTE=Asprin;7236056]Mangi umeniamsha na hangover yangu ujue.

Hayo maneno ya vijana sie wazee tutayajulia wapi?

Ngoja nrudi zangu kitandani mie[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom