Papuchi, Kugegeda, Dushelele. Je watunzi wa lugha ya kiswahi wanayatambua haya maneno?

Papuchi, Kugegeda, Dushelele. Je watunzi wa lugha ya kiswahi wanayatambua haya maneno?

Wana mmu poleni na mihangaiko ya hapa na pale napenda kujua hivi haya maneno papuchi,gegedo,kugegeda nani aliyaanzisha humu cc lara 1,mamndenyi,preta

...................
...................
250438_173110756081089_4734705_n.jpg
 
Ngoja niweke picha kabisa ili tujadili

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kuna Mpwa wangu mmoja jina kapuni, ni mpenzi sana wa haya maneno nahisi ndio atyakua mwanzilishhi tu.....akibisha namtaja

Mhhhhhhhhh......Wapwa mnaitwa huku.....
 
Wana mmu poleni na mihangaiko ya hapa na pale napenda kujua hivi haya maneno papuchi,gegedo,kugegeda nani aliyaanzisha humu cc lara 1,mamndenyi,preta

Utajifunza vingapi wee mtu? Wewe yatumie tu hayo maneno - in case unayapenda.
 
Last edited by a moderator:
Mkirua unamaanisha hawa uliowaita ndo mabingwa wa papuchi na migegedo?
Au nimekosea?
Najifunza tu usinirushie mastone

Mkuu hekimatele.....sina maana hiyo!
Namaanisha tu kuwa ni wakongwe humu mtandaoni (according to my memory!) so wanaweza kufahamu haya magegedano yalianzia wapi na kwa nani?

 
Last edited by a moderator:
mmnabishaana nimeyaanzisha wakati natumia majina yangu yaleeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Back
Top Bottom