Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Do you know kila cost husika inayofikisha bei hiyo?Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira
Je hii taarifa umeitoa wapi?Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
So hailipiJe hii taarifa umeitoa wapi?
Je unafahamu GDP ya ufarasa? (Hapa ili uelewe elewa huu mfano: Hapo Zimbamwe parachichi moja lauzwa Milioni 20)
Je unafahamu gharama halisi za kulifikisha sokoni hilo parachichi moja?
Ndege chap kwa harakaunasafirisha kwa meli au ngege??
Hakikatatizo ni utaratibu mbovu wa nchi yetu kuhusu kusafirisha mazao, upatikanaji na vibali bado ni tatizo
gharama zake zipojeNdege chap kwa haraka
Hahaaa!! Asilimia 90 ya parachichi zinazoliwa Tz, hazina sifa ya kuliwa ULAYA!! tambua hilo.Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira
(Hapa ili uelewe elewa huu mfano: Hapo Zimbamwe parachichi moja lauzwa Milioni 20)
Huo no uongo bro, kila Siku ndege za ulaya zinakuja kuchukua matunda TZ, pamoja na mboga za majani mchicha, matembele na kisamvuHahaaa!! Asilimia 90 ya parachichi zinazoliwa Tz, hazina sifa ya kuliwa ULAYA!! tambua hilo.
Anafikiri ni rahisi kama tunavyouziana masoko mjinga.Things ain't that easy bro
ni kweli kwa tanzania urasimu wetu ndo unatupa shida huezi amini sisi tunazalisha mara 10 ya kenya ila kenya ndo anaitwa mzalishaji na exporter wa parachichi sababu ya process ndogo sana grading(ubora,ukubwa) na urahisi wa ku export jamani na kenya anatoa maparachichi mengi tanzania mwisho wa siku yeye ndo anachukua tittle ya producer mkubwa http://files.eacce.org.ma/pj/[1569600032]Kenya.pdf. ....sujui lini tutafungua macho kama kwenye tanzanite tz tunatumika vibaya sana sababu ya viongozi wetu kukosa maono na kurahisisha urasimu wakupeleka vitu nje mwisho ....mungu atusaidietatizo ni utaratibu mbovu wa nchi yetu kuhusu kusafirisha mazao, upatikanaji na vibali bado ni tatizo
Ufaransa sio nyang'waleKwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira
Afu kweliShida ya wabongo ni ubinafsi biashara hizo zenye manufaa zinashikiliwa na vigogo wachache huko ccm wanajipangia bei wanaotaka kununua huko shambani ili mteseke zaidi nyie wangine hamtokuja pewa vibali endeleeni kuwa maafisa usafirishaji