Parachichi moja Ufaransa Tsh 6000

Parachichi moja Ufaransa Tsh 6000

Ili uingize bidhaa ulaya,marekani au japani mchakato wake sio rahisi kihivyo ,wanaanza kuangalia mpaka udongo uliotimika kulima hayo matunda kama Haina chemicals zozote zenye madhara kwa binadamu.wenzetu wanajali sana afya za watu kivitendo,naamini kabisa kama vipimo vingefanyika tz kwenye zao la nyanya na hoho hakuna mtu angekula nyanya tz.
 
Parachichi moja 600

Ukiuza parachichi 500 inakua 500×6000=3,000,000
Ukitoa gharama za usafiri 200,000 inabaki milioni 2,800,000 tufanye na gharama za pembeni 300,000 inabaki 2,500,000 ukisafirisha na ndege ya asubuhi na mchana na jioni.
Inakua 2,500,000×3= 7,500,000

Alisikika motivesheni spika akijifanyia hesabu zake kwenye notebook.
 
Huo no uongo bro, kila Siku ndege za ulaya zinakuja kuchukua matunda TZ, pamoja na mboga za majani mchicha, matembele na kisamvu
Parachichi zinatoka Njombe huko hadi Ulaya. Niliona kipindi cha kilimo alichokuwa anaendesha Abdallah Mwaipaya.
 
Parachichi aina ya hass limekuwa la kwanza dunian kwa ubora.
Mambo yatakuwa mazuri kama Kenya tukikamilisha miundombinu ya kuhifadhi na usafirishaji ambapo tayari vinawekwa sawa na ndege ya mizigo tunayo.
Sasa tufikirie kuongeza thaman maana kwa Italy chenye thaman sana ni mafuta ya parachichi.
Changamoto nyingine ni hatutoshelezi soko kwa vigezo vya MoU.
Tulime sana hass kisasa na taasisi za serikali ziongeze bidii kutafiti viatilifu maana fungus ni shida.
Tabia ya kuwaza kufeli hujaanza naona inaota mizizi siku hizi.
Kwa hii mitaji ya kudunduliza lazima tujiunge ili iende consignment kubwa kwa jina moja.
 
Mwaka huu biashara imekua ngumu kidogo. Ila hakuna Cha quality control Wala nini. Mara nyingi tatizo linakua ni reject ( matunda yenye makovu, matunda ambayo hayaja komaa) lakini changamoto sijui ni muamko wa watz pia nahisi na serikali Kwa Sababu mzigo ukipakiwa njombe unafungwa moja Kwa Moja Hadi ulaya Kwa kupitia Mombasa port kenya
 
Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu, yaani parachichi moja hapo Ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6

Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu

#msaka_ajira
Japo biashara hii sio rahisi kama ulivyo washauri wenzio. Inahitaji soko na mtaji Kwasababu kupata mzigo wa kujaza container sio pesa Kidogo kontena Lina tani 20 kilo Moja Ina range Tshs 1000- Tshs1800 Kwa kilo Hapo bado mavibali
 
Huo no uongo bro, kila Siku ndege za ulaya zinakuja kuchukua matunda TZ, pamoja na mboga za majani mchicha, matembele na kisamvu
Elewa nilichoandika kwanza!! Sijasema matunda nimesema parachichi, sio kila parachichi lina sifa ya kuuzwa Ulaya, ni aina moja tu HASS, ndio linasifa ya kuuzwa huko, nalo kuna vigezo lazima vifuatwe tangu upandaji wake hadi kuvunwa kwake.
 
Parachichi zinazoliwa Tanzania ni zipi na zinazoliwa ulaya ni zipi?
Inshu sio kuliwa tu bali zinasifa ya kuliwa na binadamu anayejali afya yake? Ni parachichi aina ya HASS, tu ndio ina sifa ya kuuzwa soko la ulaya, na lazima iwe imefuata vigezo ktk ulimwaji wake.
 
Parachichi zinatoka Njombe huko hadi Ulaya. Niliona kipindi cha kilimo alichokuwa anaendesha Abdallah Mwaipaya.
Muwe mnasoma na kuelewa!! Cjasema kuwa haziuzwi ila ni kiasi kidogo sana, kutokana na sifa zinazotakiwa za parachichi, KENYA mbona wanauza sana ni kutokana na kuanza kulima aina ya HASS, inayotakiwa ulaya, na sasa njombe ndio wameanza kulima aina hiyo, ila wengi wao wanalima aina nyingine tu ambazo ndio nyingi tunqzokula ndani ya nchi. Wengi wana shindwa kilimo hicho kutokana na masharti yake, hutakiwi kabisa kutumia madawa, mbolea za viwandani!!
 
Nje ya mada, hivi kilo moja ya vanilla bado bei yake Iko juu vile vile kama awali? Maake yale matangazo kama yamepotea hivi
 
hass ovecado zinalimwa Tz na zinaliwa sana ulaya chief!. ishu kubwa kama mdau alivyosema hapo ni ukiritimba wa taasisi zetu jaribu kuulizia process za kisafirisha kitu nje utajua hujui. wakenya wata
Hahaaa!! Asilimia 90 ya parachichi zinazoliwa Tz, hazina sifa ya kuliwa ULAYA!! tambua hiloh
 
hass ovecado zinalimwa Tz na zinaliwa sana ulaya chief!. ishu kubwa kama mdau alivyosema hapo ni ukiritimba wa taasisi zetu jaribu kuulizia process za kisafirisha kitu nje utajua hujui. wakenya wata
Hahaaa!! Asilimia 90 ya parachichi zinazoliwa Tz, hazina sifa ya kuliwa ULAYA!! tambua hiloh
 
hass ovecado zinalimwa Tz na zinaliwa sana ulaya chief!. ishu kubwa kama mdau alivyosema hapo ni ukiritimba wa taasisi zetu jaribu kuulizia process za kisafirisha kitu nje utajua hujui. wakenya wata
Kwani kuna sehemu nimesema hazilimwi Tz? Ni kwa kiwango kidogo sana, mwaka jana tu kuna shehena ya hizo hass avocado ziliharibiwa huko njombe na serikali baada ya kuwa vimevunwa zikiwa bado hazijakomaa, !! Mimi mwenyewe ni mfanya biashara wa mazao, tatizo letu watz biashara zetu nyingi ni za ujanja ujanja tu, sasa ulaya huko hilo halipo!! Na ndipo tunapokwama!! Wao wana vigezo vyao, kuna taasisi moja mkoa wa pwani ilipata tenda ya kupeleka maembe dodo ujerrumani, wakapeleka mala moja tu, wakaacha kuulizwa "ohooo masharti yao ni mengi sana"
 
Back
Top Bottom