Habari Wanajamii,
Natafuta kampuni nzuri nataka kusafirisha kiparcel changu kije Tanzania nataka kampuni iliyonyooka isiyo na longolongo, maana Kuna kampuni mbili nlikwishatumia zilinilet down vibaya mno.
Ambaye ashasafirishiwa na ana experience nzuri pls recommend
Asante
Natafuta kampuni nzuri nataka kusafirisha kiparcel changu kije Tanzania nataka kampuni iliyonyooka isiyo na longolongo, maana Kuna kampuni mbili nlikwishatumia zilinilet down vibaya mno.
Ambaye ashasafirishiwa na ana experience nzuri pls recommend
Asante