Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Kung'utwa kule
Pigwa sana ka mbwa mwizi
Kumbe Paris nguvu ya soda tu
Bayern kakuweka swafii kabisa
Mi nilitaka upangwe na Madrid 16 bora kumbe nawe walewale 2 si atakutoa
Ila naomba upangwe nae tu siwapendi wale majamaa
Naaminia neymar mtayatoa tu yale majamaa ila si barca
Mkuu unazungumzia madrid ipi?