Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili Group ndo lile mtu akiamua kutoa watu anatoa toa tu? linaboa sana... mtu anapojoin si lazima acomment same day wakat topics zilizo mezani hana cha comment ila linatokea puuz moja nyuma linasema nafuta watu wasiocomment hata tukibaki watatu tunaochat ndo nataka... sasa kama unataka waatu wakuchat nao mnasambaza link ya nnFollow this link to join my WhatsApp group: WAZEE WA KUWEKA MIZIGO
Uefa mtapata tabu sanaPSG na Ligue 1 kama maji na samaki. Cha msingi akaze UEFA sasa
Jana nimekaa na shabiki WA liver akaiponda sana hii timu,nikamwambia kuwa wamedroo na Napoli hawa akanijibu kuwa kwan napoli anampira gani subiri uone ninavyompiga Napoli goal 4...!Jana PSG wamepata kibonde. Neymar katupia Hatrick
Jana umeshinda ngapi mkuu?Mlikutana na vibonde
Hongeren kwa ushindi
KamojaJana umeshinda ngapi mkuu?
Mechi muhimu hafanyi lolote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana PSG wamepata kibonde. Neymar katupia Hatrick