Paris, Ufaransa: Rais Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Emmanuel Macron

Paris, Ufaransa: Rais Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Emmanuel Macron

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée leo Februari 14, 2022

Rais Samia yupo Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi. Akiwa huko pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo

1644846258249.png

1644846278306.png


1644846299275.png

1644846317322.png
 
Nimemkumbuka Mwamba tu aka Nzilakende, mwendo wa gwaride tu halafu mapumziko Chato.... machuma yakiwashwa Dar alfajiri, huko njiani ni umwamba tu mpaka tunalala dom, akilianzisha dom kesho yake huko njiani ni balaa.. the same akirudi kutoka chato....wale wa kusini washukuru ule moshi pale kwa Membe.

RIP Nzilakende, nchi imepooza sana, watu hawaendi keko tena...
 
Ushauri: Mama ukiwa unaenda, uende na lidirimu laina aka Dream liner na wabeba box kadhaa unakwenda kuwatelekeza huko...mabaharia ukiwaacha tu hapo Paris wanajua wenyewe namna ya kusurvive...hii itasaidia sana kupunguza tatizo la ajira..
 
Mama asikatae kupokea fungu la uhakika vijana wetu waingie Cabo watokomeze yale magaidi. Kagame anakula na kunufaika kiulaini hela ya Hawa jamaa. Yani Kagame janjajanja nyingi alichangamkia deal faster kutinga Cabo wakati SADC wakijadiliana
Hii ndio Tanzania Bhana Ima atoe ela tunakazi nayo tumpigie kazi yake chap,PK kakutana na watoto wa mjini sasa.
 
Kitu kinacho shangaza mbona kwa wenzetu sio wale wanajeshi wanavaa hadi kama wako vitani, wakimzunguka kiongozi.

Tusiende mbali ata kwa kagame tuu hapo ni mara chache
Sio kweli fuatilia vizuri kwetu wanavaa ceremonial dress nyukundu.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée leo Februari 14, 2022

Rais Samia yupo Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi. Akiwa huko pia amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo

View attachment 2119323

View attachment 2119324

View attachment 2119325

Mwambie akitoka hapo apitie Uingereza then American alafu amalizie shopping Dubai ila asisahau mpunga Wake kwa Warabu,Masai wako karibu kuamishwa
 
Nimemkumbuka Mwamba tu aka Nzilakende, mwendo wa gwaride tu halafu mapumziko Chato.... machuma yakiwashwa Dar alfajiri, huko njiani ni umwamba tu mpaka tunalala dom, akilianzisha dom kesho yake huko njiani ni balaa.. the same akirudi kutoka chato....wale wa kusini washukuru ule moshi pale kwa Membe.

RIP Nzilakende, nchi imepooza sana, watu hawaendi keko tena...
Alikuwa anaongoza nchi kishamba, ki uswekeni, dunia ni kijiji sasa, huwezi kufanya chochote bila kushirikiana na wenzako, wenzake N. Korea wanashindia mlo mmoja kwa sasa, tena ni msaada kutoka China! 200 years kutoka sasa hii mipaka haitokuwepo tena, think BIG
 
Back
Top Bottom