SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Yeye kama Rais tunayemwamini anajua na inatosha, au ulitaka watanzania wote milioni 60 tukaingie Ikulu ya Paris kusikiliza wanachoongea? Acha ujinga
Wakishaongea si aje kutuambia au wanaongea mambo yao binafsi[emoji1787][emoji1787]