Paris, Ufaransa: Rais Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Emmanuel Macron

Geopolitics ya hizo nchi ni tofauti na sisi. Ila naheshimu mawazo yako
Tofauti yao na sisi ni kuwa wao wanafanya mambo kwa malengo. Sisi siasa nyingi.

Wamekopa kimkakati na kufanyia mambo ya muhimu sasa wameondokana na mikopo ya lazima wanakopa wakiona kuna uhitaji.

Sisi bila kukopa mambo hayaendi.

Na bado tumewazidi kwa rasilimali.

Huoni kwamba sisi tuna matatizo makubwa sana??
 


Gas ya Uganda imetuweka karibu na France
 
Bila kukopa huwezi kusonga mbele wewe jamaa, Rasilimali gani uliowazidi hao watu? Hivyo vidhahabu vya Geita? Hizo siasa nyingi unaziona sasa tu, kipindi chizi wako yupo Ikulu ulikuwa huzioni, watu kama wewe ni wa kunyonga kabisa, mnafiki mkubwa
 
Umeongea ukweli, kwenye hizo nchi uwajibikaji upo juu sana..........pesa ikitolewa msaada kwa ajili ya kujenga daraja litajengwa daraja kwa viwango vile vile vilivyokusudiwa, wakati kibongobongo daraja linaweza lisijengwe au likijengwa limechakachuliwa. Tungewajibika kutumia misaada ambayo tumekuwa tukipewa miaka lukuki, hii nchi ingekuwa mbali sana..........
 
Mwaka wa 61 huu bado sisi ni omba omba.

korea ya kusini, Malaysia na nyinginezo tulikua tunalingana nazo kwa sasa wametuacha mbali.

Sisi tumebakia na IF IF IF .

DEPENDENCY MENTALITY!! Akili ya MATONYA!

Kitu kinachoshangaza zaidi ni jinsi nchi inayokwenda kuomba kusaidiwa inafanya mambo ambayo wale wanaokwenda kuombwa msaada hawayafanyi kwani sio mambo ambayo viongozi wenye akili na watu wao wanaweza kuyafanya!

Mfano mmoja ni jinsi nchi ilivyoamua kuwazawadia MARAIS WASTAAFU kuwajengea mahekalu wanapostaafu; sio jambo baya kuhakikisha kuwa viongozi hao wakisha maliza muda wao waendelee na maisha waliozoea wakiwa madarakani, lakini kuwajengea iwe kutokana na uhuhitaji wao!! Haingii akilini kumjengea kiongozi nyumba ya mabilloni ya shiliΓΌngi ili hali kiongozi huyo ana majumba karibu kila sehemu ya nchi kitu ambacho kinapingana kabiisa na dhana ya kuhakikisha kuwa waendelee kupata maisha mazuri!! Kama binadamu wengine hawa viongozi hawahitaji majumba yote hayo kwa maisha yao ndio maana ingekuwa busara kama wangejengewa pale tu ambapo kiongozi hana nyumba ya heshima yake na sio mradi kiongozi amestaafu kutumia mabilioni ambayo yangweza kutumika kutatua shida nyingi za wanannchi wengine!

Kama nchi, liwe jukumu la viongozi kujifunza matumizi sahihi na yenye tija ya rasilimali zilizopo chini badala ya kukimbilia kwenda kuomba misaada ambayo inaweza kuiweka nchi katika shida hapo baadae ingawa hawa wanaohusika na haya maamuzi hawatakuwepo wakati huo hivyo kuwaachia vizazi vijavyo Mizigo!!
 

Inakusaidia nini kuongelea miaka 200? Kwa iyo wakati wa huyo mshamba kwa mjibu wako mlikuwa mnashindia mlo mmoja na sasa hivi mnashindia Milo 7? Acha ugaigai wa kuwaza wewe ndo unatakiwa ufikirie nje ya ulipo hapo!
 
Bila kukopa huwezi kusonga mbele wewe jamaa, Rasilimali gani uliowazidi hao watu? Hivyo vidhahabu vya Geita? Hizo siasa nyingi unaziona sasa tu, kipindi chizi wako yupo Ikulu ulikuwa huzioni, watu kama wewe ni wa kunyonga kabisa, mnafiki mkubwa

Niambie rasilimali walizonazo hao Wafaransa kama sio uharamia walioufanya miaka 400 nyuma kuwafikisha hapo? Mana sijawahi jua ardhi yao inanini.
 
Inakusaidia nini kuongelea miaka 200? Kwa iyo wakati wa huyo mshamba kwa mjibu wako mlikuwa mnashindia mlo mmoja na sasa hivi mnashindia Milo 7? Acha ugaigai wa kuwaza wewe ndo unatakiwa ufikirie nje ya ulipo hapo!
Dunia ni kijiji kwa sasa Jombaa, mambo ya kujifungia ndani hayapo kwa sasa, Nyerere yalipomshinda hayo akaamua kuachia nchi bila kupenda, huyu mwingine alipoamua kukomaa na ujima wake kilichompata haina haja ya kurudia hapa! We evolve, usipoevolve sheria za Darwin zitakuondoa
 
Niambie rasilimali walizonazo hao Wafaransa kama sio uharamia walioufanya miaka 400 nyuma kuwafikisha hapo? Mana sijawahi jua ardhi yao inanini.
Kufanya uharamia nako ni rasilimali, wewe kama unakaa kifalafala watu watabeba unachomiliki na usiwalaumu, ni ufala wako ndiyo unasababisha kuporwa! Like mimi nikimbeba mkeo usinilaumu mimi, jilaumu wewe na unyonge wako wa kibwege
 
Mama endelea kuupiga nwingi, uchungu tayari hukuu,....huyu anazaa (siyo kujifungga) sasa hivi!!!
Kuupiga mwingiπŸ‘‡πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Ushauri: Mama ukiwa unaenda, uende na lidirimu laina aka Dream liner na wabeba box kadhaa unakwenda kuwatelekeza huko...mabaharia ukiwaacha tu hapo Paris wanajua wenyewe namna ya kusurvive...hii itasaidia sana kupunguza tatizo la ajira..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Duh aya bana
 
Kile Chuma Kweli Kweli, Jiwe Kweli Mzilankende Noma
 
Mbona sioni barakoa huko Corona imetokomezwa?
 
Mama endelea kuupiga nwingi, uchungu tayari hukuu,....huyu anazaa (siyo kujifungga) sasa hivi!!!
NIMEONA mjinga hapa JF leo.Huku ndiko kuupiga mwingi?πŸ‘‡πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu Macron anahistoria fulani maarufu duniani hapa, very interesting.. Ngoja tusubiri.
Mkuu hili nililiona kitambo sana. Sidhani kama atapona mtu hapo[emoji14][emoji14][emoji14][emoji3059]
 
Bila kukopa huwezi kusonga mbele wewe jamaa, Rasilimali gani uliowazidi hao watu? Hivyo vidhahabu vya Geita? Hizo siasa nyingi unaziona sasa tu, kipindi chizi wako yupo Ikulu ulikuwa huzioni, watu kama wewe ni wa kunyonga kabisa, mnafiki mkubwa
Yani kwa sasa Tanzania siasa zimebadilika mno.

Upinzani umehama kutoka ccm na chadema hadi kuwa ccm magufuli na ccm sa100.

Wananchi walio wengi ambao ndio wanyonge bado wanaamini kiongozi mwenye kubeba maono ya Magufuli tu ndio mkombozi wao wa kweli bila kuzingatia anatoka chama gani.

Chadema katika mchapano huu tayari washachanika msamba maana hawana chochote cha kushawishi wanyonge kwa sababu ndio walikuwa mstari wa mbele kumpinga mtetezi wa kweli wa wanyonge.

Hali ikiendelea hivi kuna kila dalili kushuka kwa idadi ya washiriki wa kupiga kura kama ilivyokuwa 2010.

Walamsiki.
 
Mjinga ni wewe ambaye hujui kuwa sisi raia ndio mabosi wake na tuna kila haki ya kujua yanayojadiliwa maana nchi ni yetu hii.
Ulikuwa unajua hivyo pia wakati wa jiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…