Hii kampuni ya parking inakusanya karibu shs milioni tano kila siku.Nadhani City council wanatakiwa kulipwa kitu kama milioni.Lakini sasa hao City wenyewe hawalipwi.JK alitaka kumnyang'anya huyo mama hio tenda na kumpa nani sijui.Lakini huyo Mama Kingunge alikwenda kulia kwa JK kuwa wao wamechukua mikopo kwa ajili ya kuweka mitambo ya kisasa kwa ajili ya hio shughuli ya parking.Sasa tunasikia kuwa waliongezewa mkataba kiholela.Pale Ubungo bus terminal,wanakusanya kama milioni kila siku,lakini hakuna maendeleo yeyote pale toka pamejengwa.Yule mama kanunua nyumba nyingi sana masaki,regent estate,maana wanajua kuwa hii dili itakufa anytime.Na habari za ndani ni kwamba hata Kingunge mwenyewe hayuko too keen on the deal,sasa sijui kwa sababu mwenye dili ni mkewe au kwa sababu ya balaa litakalolozuka baada ya kugundulika kuwa kampuni ni ya wakina kingunge.Lakini yule anayesema kuwa Kinje sio mtoto wa Kingunge,hio sio kweli...na wamefanana,tena sana tu