TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Halafu ajabu hizi parking fee zina deadline ya tarura sasa inakuwaje wakamate mtu leo ambae deadline yake ni November?Ilikuwa 20k now wameshusha mpaka 10k? Kweli hali ni mbaya[emoji23][emoji1544][emoji1544]
Unaangaliaje madeni?Wapendwa natumaini hamjambo.
Kama kuna mtu anadaiwa parking ya gari inayozidi 10,000. Lipa kabla ya saa nne leo, vinginevyo ukikamatwa gari linapelekwa godown na unalipa laki nne.! Hiyo ni kuanzia leo 04/09/2023
Download 'GePG Tanzania'Unaangaliaje madeni?
Hatuna sasa mpaka deadline ya tarura ifike ntalipaje wakati muda haujaisha!Hela zinatafutwa na nguvu ujue
Watu wanataka pesa huko juu
Hya wenye magari lipeni
Ova
Hapo sasa haijulikani kama ni kwa wote ama la ila kwa jinsi nchi hii watu wasivyotumia akili wanaweza kukomaa na kigezo cha kuzidi 10,000/= tu sasa mimi nasubiri wanikamate nipambane naoila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?
Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.View attachment 2738650
Paki gari mkuuHatuna sasa mpaka deadline ya tarura ifike ntalipaje wakati muda haujaisha!
Sipaki na silipi kabla ya muda wa kulipaPaki gari mkuu
Lipa kwanza
Ova
Kabisa na hiyo hasa ndio hofu yangu. Maana hii nchi kila kauli huwa ni fursa. Kwa upeo mdogo wa hao watendaji wao sidhani kama watataka kusikia kipengele cha muda.Hapo sasa haijulikani kama ni kwa wote ama la ila kwa jinsi nchi hii watu wasivyotumia akili wanaweza kukomaa na kigezo cha kuzidi 10,000/=
Parking ihusishe barabara za kati ya mji yaani isizidi kilometa 5 toka city center na Sio hadi uchochoroni mbagala,kawe,tegeta huu ni wizi
Hovyo kabisaIlikuwa 20k now wameshusha mpaka 10k? Kweli hali ni mbaya[emoji23][emoji1544][emoji1544]