Parking fee kamata kamata

Parking fee kamata kamata

Wapendwa natumaini hamjambo.
Kama kuna mtu anadaiwa parking ya gari inayozidi 10,000. Lipa kabla ya saa nne leo, vinginevyo ukikamatwa gari linapelekwa godown na unalipa laki nne.! Hiyo ni kuanzia leo 04/09/2023
Unaangaliaje madeni?
 
ila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?

Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.
Screenshot_20230904_134808_GePG Tanzania.jpg
 
ila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?

Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.View attachment 2738650
Hapo sasa haijulikani kama ni kwa wote ama la ila kwa jinsi nchi hii watu wasivyotumia akili wanaweza kukomaa na kigezo cha kuzidi 10,000/= tu sasa mimi nasubiri wanikamate nipambane nao
 
Hapo sasa haijulikani kama ni kwa wote ama la ila kwa jinsi nchi hii watu wasivyotumia akili wanaweza kukomaa na kigezo cha kuzidi 10,000/=
Kabisa na hiyo hasa ndio hofu yangu. Maana hii nchi kila kauli huwa ni fursa. Kwa upeo mdogo wa hao watendaji wao sidhani kama watataka kusikia kipengele cha muda.
 
Back
Top Bottom