Wanapiga picha hata gari zilizo gereji za karibu na barabara, wakati garama ya eneo inatakiwa ilipwe na mwenye eneo.Hii kitu yao ina mapungufu. Niliyoyaona ni haya yafuatayo;
1. Haionyeshi nilipaki wapi.
2. Haionyeshi nilipaki sehemu hiyo tarehe ngapi.
3. Haionyeshi nilipaki kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi
Mapungufu hayo, yanaweza yakafanya watu wakuandikie parking fee gari, wakati huo ikiwa nyumbani kwako. So long as anayeandika anaijua namba ya gari yako, basi anakubambika tu. Hata kama gari ipo Mbeya na wewe utaonekana umepaki Dar.
Unafikiri hatutaki kulipa kodi shehe, shida ni pale utaratibu unapokuwa wa upendeleo na adhabu isiyo endana na kinachodaiwa.Lakini zile parking mbele ya maduka yao ni kweli za serikali ya mitaa, zamani zilikuwa na hizi machine
View attachment 2738802
Ni kweli nakumbuka ,hata mm nlizionaLakini zile parking mbele ya maduka yao ni kweli za serikali ya mitaa, zamani zilikuwa na hizi machine
View attachment 2738802
Eti unawapa hela wasanii [emoji1]Unafikiri hatutaki kulipa kodi shehe, shida ni pale utaratibu unapokuwa wa upendeleo na adhabu isiyo endana na kinachodaiwa.
WASANII juzi wamekopeshwa milioni 40 kila mmoja na hawajarudisha na hawatarudisha na kila siku wapo wakula k-vant wavuvi camp hakuna wa kuwauliza na wanaalikwa kwenye sherehe za serikali na kulipwa mamilioni, ila mnyonge aliyepaki Pembezoni mwa duka la majeneza pale muhimbili kununua jeneza la mke wake aliyefariki Mwaisela unakamata gari lake! Daah!
Unadai Tsh. 16,000 gari inakamatwa kabla ya muda wake wa mwisho wa kulipa deni, alafu ulipishwe laki nne. Msiamini uchawi upo, ukitokea mtu unalogea wanawe, atapike laki nne zangu, maana kuuguza ni fedha.Unafikiri hatutaki kulipa kodi shehe, shida ni pale utaratibu unapokuwa wa upendeleo na adhabu isiyo endana na kinachodaiwa.
WASANII juzi wamekopeshwa milioni 40 kila mmoja na hawajarudisha na hawatarudisha na kila siku wapo wakula k-vant wavuvi camp hakuna wa kuwauliza na wanaalikwa kwenye sherehe za serikali na kulipwa mamilioni, ila mnyonge aliyepaki Pembezoni mwa duka la majeneza pale muhimbili kununua jeneza la mke wake aliyefariki Mwaisela unakamata gari lake! Daah!
Upambane na nani? Unafikiri Kuna mtu atakayekusikiliza ?Hapo sasa haijulikani kama ni kwa wote ama la ila kwa jinsi nchi hii watu wasivyotumia akili wanaweza kukomaa na kigezo cha kuzidi 10,000/= tu sasa mimi nasubiri wanikamate nipambane nao
Ujinga mtupuWanapiga picha hata gari zilizo gereji za karibu na barabara, wakati garama ya eneo inatakiwa ilipwe na mwenye eneo.
Nitatumia fact sitakubali kupelekwa godown na kuchajiwa kizembe neverUpambane na nani? Unafikiri Kuna mtu atakayekusikiliza ?
Hi nchi imeshapoteza muelekeo Kila mtu anafanya anachojisikia
Maeneo ya kariakoo Kuna watu wanavaa suruali nyeusi na shati jeupe kazi Yao kukamata Magali sijui ndio akina nani hawa
Nakumbuka JPM alipiga marufuku mtu ambaye sio polisi kufanya kazi za kipolisi ila Kwa Sasa wamerudi Kwa kasi wamezagaa Kila mtaa
Wapendwa natumaini hamjambo.
Kama kuna mtu anadaiwa parking ya gari inayozidi 10,000. Lipa kabla ya saa nne leo, vinginevyo ukikamatwa gari linapelekwa godown na unalipa laki nne.! Hiyo ni kuanzia leo 04/09/2023
Safi sana ndio raha ya kujua sheria kamwe huwezi kuonewa hovyo hovyoKwa watu ambao hawajui sheria na taratibu, walinifanyiaga huo ujinga miaka ya nyuma hawatasahau maisha yao yote maana walinitafuta mpaka kwa Baba Mzazi.
Mtu anaenda palm village mfano
Anaingia na gari hapo anakutana na watu wa parking [emoji1]
Ova
Upambane na nani? Unafikiri Kuna mtu atakayekusikiliza ?
Hi nchi imeshapoteza muelekeo Kila mtu anafanya anachojisikia
Maeneo ya kariakoo Kuna watu wanavaa suruali nyeusi na shati jeupe kazi Yao kukamata Magali sijui ndio akina nani hawa
Nakumbuka JPM alipiga marufuku mtu ambaye sio polisi kufanya kazi za kipolisi ila Kwa Sasa wamerudi Kwa kasi wamezagaa Kila mtaa
Hapa inaonesha ulipaki wapi na kwa muda gani:Termis Web SystemHii kitu yao ina mapungufu. Niliyoyaona ni haya yafuatayo;
1. Haionyeshi nilipaki wapi.
2. Haionyeshi nilipaki sehemu hiyo tarehe ngapi.
3. Haionyeshi nilipaki kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi
Mapungufu hayo, yanaweza yakafanya watu wakuandikie parking fee gari, wakati huo ikiwa nyumbani kwako. So long as anayeandika anaijua namba ya gari yako, basi anakubambika tu. Hata kama gari ipo Mbeya na wewe utaonekana umepaki Dar.
Ni kweli, unaweza kukuta umewekewa umepaki sehemu ambayo hujawahi hata kupaki. Mimi mwenyewe nimeangalia kunasehemu naangiziwa napaki kila siku na eneo lenyewe liko Mwanza wakati mimi nipo dar es salaam.Ina makosa mno wala usifuatishe, nenda barbarani wale wa vimashine watajie namba ama traffic.
Kawe beach na ukimya wote ule ukipark wanakuandikia fastaParking kando ya barabara ni wizi wa mchana kweupe, maana yake wanataka watu wawe wanabeba magari mgongoni wakitaka kuingia mahali kununua bidhaa au kupata huduma? nimekaa majuu kuna street parking, watu wanapaki magari kando ya barabara mitaani kwenye maeneo yalipo makazi yao hata mwaka mzima na hakuna wanacholipia. Utaratibu wa kulipia parking unatakiwa uwepo kwenye maeneo maalumu yaliyojengwa kama maegesho na halmashauri au watu binafsi kama ilivyo mlimani city, siyo kando ya barabara zilipo huduma na biashara.........watu wame park eneo la bar wanapata vinywaji, mtu anakuja kutoza parking, hii haiwezi kuwa haki.
Jero kwa muda gani???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana dar ni kuanzia afu 2 ndo mtu anakubalii hapo unakaa siku nzimaaa..Mimi walishanisumbua sana.
Siku hz nkipaki namuangalia kwanza nijue alipo, then namchana wazi kua anisubirie tumalizane asihangaike kupiga hyo picha. Nkitoka nampa 200 au jero ya maji nasepa
Acha uongo.mfano pale Mlimani city baada ya lisaa ndio unachajiwa
Mi nachajiwa baada ya lisaa usije ukawa mshamba unaonewaAcha uongo.
M.city siku hizi ukiingia tu, ukatoka hapohapo lazima ulipe buku.