JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Taarifa ikufikie kuwa hili ndilo tamko lililotolewa na Chancellor Fr. Vincent Mpwaji wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, japokuwa kisa hakijatajwa lakini hizi ndiyo taarifa za uhakika kutoka katika kanisa hilo, jisomee mwenyewe uone
Inasomeka hivi...
Waheshimiwa Mapadre Wote,
Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
YAH: TAARIFA MUHIMU KUHUSU PD. CHRISTOPHER FOSUDO
Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu.
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwaichi OFMCap anatoa taarifa kwamba Padri Christopher Fosudo kutoka Nigeria ambaye alikuwa anahudumu hapa Jimboni kama Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni, hatakiwi tena kuwepo hapa Jimboni Dar es Salaam. Hivyo Askofu Mkuu amemuagiza Padri Fosudo arudi nchini kwake Nigeria.
Fr. Vincent Mpwaji,
Chancellor- Jimbo Kuu la Dar es Salaam
Inasomeka hivi...
Waheshimiwa Mapadre Wote,
Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
YAH: TAARIFA MUHIMU KUHUSU PD. CHRISTOPHER FOSUDO
Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu.
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwaichi OFMCap anatoa taarifa kwamba Padri Christopher Fosudo kutoka Nigeria ambaye alikuwa anahudumu hapa Jimboni kama Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni, hatakiwi tena kuwepo hapa Jimboni Dar es Salaam. Hivyo Askofu Mkuu amemuagiza Padri Fosudo arudi nchini kwake Nigeria.
Fr. Vincent Mpwaji,
Chancellor- Jimbo Kuu la Dar es Salaam