YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Umesahau biashara ya madawa ya kulevyaHata msiwaze Sana hapa Kuna mambo matatu 3 kati ya haya
Kitombi
Fedha
Uongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau biashara ya madawa ya kulevyaHata msiwaze Sana hapa Kuna mambo matatu 3 kati ya haya
Kitombi
Fedha
Uongozi
Taasisi ngumu, isiyo yumba na imara tangu enzi za akina Martin Luther na Papa Clement V11 alipo mnyima kibali cha kuoa mfalme wa Henry V111 kumuona Catherine of Argon karne ya 16. Henry akachukia na kujitoa ktk Uka-toliki na kuanzisha Church of England ( Anglican). NA Catholic haikuyumba.Rome acheni iitwe Rome..
#MaendeleoHayanaChama
Hatuja tangaziwa sisi, hiyo ni internal communicationsIlikuwa lazima atutangazie? Jinsi alivyomleta bila kutangaza, angemrudisha hivyohivyo
Mitandao kiboko hadi internal communications za mapadri zinavujaHatuja tangaziwa sisi, hiyo ni internal communications
Hiyo siyo classified information. Trust me, ingekuwa siri usingeambulia kitu humuMitandao kiboko hadi internal communications za mapadri zinavuja
kawafanyaje wake za watu ?Kisa? Au tuwaachie wenyewe?
Eidha anafanya biashara za magendo, wake za watu au ana kiburi akiagizwa au kala hela za taasisi?
Walezi wako haoRoma locuta Est, Causa Finita Est.
Baba Askofu anajua sababu maana yeye ndiye mwenye jimbo lake ukiwa unapewa Upadre wanakili kutii kauli za Askofu so hakuna wakupinga hapoSio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Good.Ndio maana Kanisa Katoliki halina migogoro ya kipumbavu pumbavu. Hapo ingetajwa sababu tu ingeleta mambo mengi sana bora iachwe ivyo ivyo
KunaniKuna tetesi fulani fulani tangu yule padre alokutwa kafa mazingira y kutatanisha!!! any way ngoja niishie hapo kwanza
Kunani
KUNA KITU HAKIPO SAWA, HADI ANAFUKUZWATaarifa ikufikie kuwa hili ndilo tamko lililotolewa na Chancellor Fr. Vincent Mpwaji wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, japokuwa kisa hakijatajwa lakini hizi ndiyo taarifa za uhakika kutoka katika kanisa hilo, jisomee mwenyewe uone
Inasomeka hivi...
Waheshimiwa Mapadre Wote,
Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
YAH: TAARIFA MUHIMU KUHUSU PD. CHRISTOPHER FOSUDO
Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu.
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwaichi OFMCap anatoa taarifa kwamba Padri Christopher Fosudo kutoka Nigeria ambaye alikuwa anahudumu hapa Jimboni kama Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni, hatakiwi tena kuwepo hapa Jimboni Dar es Salaam. Hivyo Askofu Mkuu amemuagiza Padri Fosudo anudi nchini kwake Nigeria.
Fr. Vincent Mpwaji,
Chancellor- Jimbo Kuu la Dar es Salaam
Watuambie sisi ili iweje. Hiyo ni barua ya kiofisi, mwandishi katoa taarifa kuhusu hiyo barua, kanisa haliwajibiki kuambia umma chochote. Wahusika wametaarifiwa na huenda mtaarifiwa/mhusika amepewa barua kumueleza kwa nini huduma zake hazihitajiki parokiani.They should have told us also what wrong he had done to deserve such punishment of church sending him back to his country.
Tofautisha kanisa na mwandishi wa habari. Hizi habari tumezipata toka mwandishi na siyo vinginevyo. Kanisa halihusiki na hizo habari kuingia mtandaoni.Ilikuwa lazima atutangazie? Jinsi alivyomleta bila kutangaza, angemrudisha hivyohivyo
Sasa kama yumo kwenye hiyo tetesi...hiyo si Murder Mkuu.....wanamuachiaje sasa aondoke?Kuna tetesi fulani fulani tangu yule padre alokutwa kafa mazingira y kutatanisha!!! any way ngoja niishie hapo kwanza